LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 28,827
- 45,349
Kwa wale mliopitia shule kuanzia ngazi ya msingi mtakuwa mlikutana na mada ya asili ya binadamu kuwa mwanzo wake ni nyani. Hoja ni kwamba ilikuaje nyani aendelee kuwa nyani hadi leo bila kubadilika asili yake?
Utata upo, Biblia na vitabu vya dini zingine kama Qur an vimeandika chanzo cha binadamu aliumbwa na Mungu kutoka kwenye udongo.
Hii inachanganya wanafunzi waamini upande gani, sayansi au dini? Charles Darwin alidai asili ya binadamu imetokana na nyani, ukweli ni upi?
Utata upo, Biblia na vitabu vya dini zingine kama Qur an vimeandika chanzo cha binadamu aliumbwa na Mungu kutoka kwenye udongo.
Hii inachanganya wanafunzi waamini upande gani, sayansi au dini? Charles Darwin alidai asili ya binadamu imetokana na nyani, ukweli ni upi?