bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Wenye nyumbaa wengine ni wanokoo sanaa utakuta ashapata mtu anayetaka chumbaa kwa bei ya juu so anakuwekeaa visangaaa uamee kwakeee.
Mimi salamu yangu ya kwanza kwa baba mwenye nyumba nilimpa binti yake mimba. Majibu yake ya kwanza alinifukuza. Salamu yangu ya pili niliondoka na binti yake. salamu yake ya pili alinisusia binti yake.