Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 571
- 161
Heshima zenu wakuu,
Kuna hili swala la baadhi ya wenye nyumba kuishi na watoto zao nyumba moja au hata wenye nyumba watupu kuishi na wapangaji imekuwa kero sana kwa baadhi ya wapangaji.
Nimeshuhudia baadhi ya wapangaji wengi kunyanyaswa na watoto wa wenye nyumba au hata nyumba wenyewe katika baadhi ya nyumba hapa mjin, hata inafikia ili mpangaji kuhama nyumba kwa mdomo au manyanyaso.
Baadhi ya wapangaji/waliowahi kupanga hili wanalifaham.
Unadhan baadhi ya wapangaji kunyanyaswa kwa either kupandiahiwa kodi bila maelezo, kupandishiwa hela ya umeme, maji na hata kupangiwa mda wa kurudi nyumbani husababishwa na nini?
Kuna hili swala la baadhi ya wenye nyumba kuishi na watoto zao nyumba moja au hata wenye nyumba watupu kuishi na wapangaji imekuwa kero sana kwa baadhi ya wapangaji.
Nimeshuhudia baadhi ya wapangaji wengi kunyanyaswa na watoto wa wenye nyumba au hata nyumba wenyewe katika baadhi ya nyumba hapa mjin, hata inafikia ili mpangaji kuhama nyumba kwa mdomo au manyanyaso.
Baadhi ya wapangaji/waliowahi kupanga hili wanalifaham.
Unadhan baadhi ya wapangaji kunyanyaswa kwa either kupandiahiwa kodi bila maelezo, kupandishiwa hela ya umeme, maji na hata kupangiwa mda wa kurudi nyumbani husababishwa na nini?