Mkuu hao wote wawili wanasubiria posta za FormV zitoke sababu zimechelewa, Pia naomba kwa mwenye link ya NECTA aweke tuone matokeo yao baada ya uchakataji.
Mkuu hao wote wawili wanasubiria posta za FormV zitoke sababu zimechelewa, Pia naomba kwa mwenye link ya NECTA aweke tuone matokeo yao baada ya uchakataji.
Kwa wachovu wanaweza kuwa vilaza lakini kwa wenzetu tofauti mkuu. Hata walipokuwa hapa walikuja na mwalimu wao. Hivyo wakiwa trip wanapiga kitabu vilevile.