nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi ya sasa.
Kumekuwa na ongezeko la vijana wa kiume wenye vishiria sio vizuri wakijiposti katika mitandao ya kijamii karibia yote.
Vijana hao sidhani kama wana nia njema na usalama wa watu wanaowatazama.
Wengi wao wamekuwa wakivaa visuruali vifupi ,wanapost video wakicheza cheza na huku wakiwa wanaongea sauti za kidada kabisa.
Nadhani wanataka Kuhamasisha zaidi tabia ya Ushoga nchini mwetu.
Tunakoelekea ni kubaya zaidi ya sasa.
Kumekuwa na ongezeko la vijana wa kiume wenye vishiria sio vizuri wakijiposti katika mitandao ya kijamii karibia yote.
Vijana hao sidhani kama wana nia njema na usalama wa watu wanaowatazama.
Wengi wao wamekuwa wakivaa visuruali vifupi ,wanapost video wakicheza cheza na huku wakiwa wanaongea sauti za kidada kabisa.
Nadhani wanataka Kuhamasisha zaidi tabia ya Ushoga nchini mwetu.