Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

jbo la msingi kati yangu na yako tulilokuwa tukijadili ni "uhalali wa kuombewa na mfu" kibiblia.
ni kweli wafao katika Bwana wamelala kwani wako hai kiroho wanasubiri ufufuo lakini hawana haki kutuombea "(isipokuwa Yesu pekee aliyekufa na kufufuka)"
Jifunze thiolojia sahihi, lijue neno na sio maandiko pekee "Neno" ni Yesu/kweli.
mkiijua kweli itawaweka huru.
lakini naona unachanganya mapokeo
Soma Ufunuo 6:9-11 uelewe vizuri juu ya hao watakatifu waliopo mbinguni wanasihi nini Mungu na Mungu aliwajibu nini?Wengine tumesoma theolojia,Maneno ya Mungu hayakujichanganya popot.
 
Huu ni uongo mkubwa sana wa kanisa katoliki kujinasibu eti yenyewe ilichambua Biblia. Vitabu vya Biblia vilichambuliwa na akina Polycarp ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa YOHANA aliyeandika kitabu cha UFUNUO. Polycarp ndiye alikuwa wa kwanza kuchambua hivi vitabu na kuvikusanya pamoja na huyu Polycarp hakuwa Mkatoliki na alikuwa anawapinga sana Wakatoliki kutokana na kuingiza UPAGANI kwenye UKRISTO.

Huu ndiyo ukweli ambao unafichwa, makanisa ya kwanza kabisa ya KIKRISTO huko Asia Minor yalikuwa yanavyovitabu vyote vinavyotumika kwenye Biblia leo hii tangu karne ya 1 kabla hata Yohana kufa. Na Yohana ndiye aliyewapa kitabu cha mwisho cha UFUNUO. Fahamu kwamba Yohana ndiye alikuwa Mtume wa mwisho kufa kati ya wale 12 na yeye ndiye aliishi miaka mingi zaidi kuliko mitume wote 12 wa BWANA YESU.

Isitoshe vitabu vinavyotumika kwenye Agano la Kale vilikuwa vinatumiwa na Wayahudi kabla hata Yesu hajazaliwa, na ndio maana utaona YESU alikuwa anasema "imeandikwa hivi".. alikuwa akirejea maandiko!

Historia ipo na tunaifahamu isipokuwa Kanisa Katoliki sababu ya uhuni wake linawalisha ninyi vipofu "matango pori".

Kweli Kabisa. Ukatoliki ulianza baada ya karne ya 15, kuwa Universal church. Kabla ya hapo yalikuwepi Makanisa yaliyokua ya mahali pamoja. Ila Wakatoliki wamelewa sifa kuwa ndilo Kanisa aliloacha Yesu pale alipomwambia Petro ''wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu'' (Mathayo sura ya 16). Hawaangalii mistari iliyotangulia kuleta LOGIC Yesu alikua anamaanisha nini.

Wakati Kanisa la Rumi likiwa ni Kanisa rasmi la Dola ya Kirumi, na Mfalme akiwa na mamlaka ya kuchagua maaskofu na kuamua nini kifundishwe Kanisani, upagani mwingi sana uliingizwa Kanisani, ambao upo mpaka leo.

Kanisa lilipoteza mwelekeo, na kuanza kupokea mafunuo yaliyo kinyume na biblia.
 
hawanashida
Hapa msabato hawezi elewa wanafundishwa mtu akifa anakaa kaburini hadi siku ya mwisho. Hawawezi kuelewa kwamba kuna watu baada ya kufa wako mbinguni, wanatumia maandiko ya Ellen White kupimia maneno ya Yesu na mitume wake badala ya kinyume chake, yaani hawatumii maandiko kupimia mawazo ya nabii wao mdanganyifu Ellen G. White
 
Hapa msabato hawezi elewa wanafundishwa mtu akifa anakaa kaburini hadi siku ya mwisho. Hawawezi kuelewa kwamba kuna watu baada ya kufa wako mbinguni, wanatumia maandiko ya Ellen White kupimia maneno ya Yesu na mitume wake badala ya kinyume chake, yaani hawatumii maandiko kupimia mawazo ya nabii wao mdanganyifu Ellen G. White
umekaririshwa ibada za kimizimu
 
Kabla Bikira Maria hajawatokea watoto, walianza kutokewa na malaika aliyewafundisha sala tatu. Malaika aliwafundisha sala ya kumwabudu Mungu kwa kusujudu ardhi kama wanavyofanya Waislamu.

Tangu nianze kwenda Fatima sala hii siiachi.
Ipoje hiyo ndugu,utufundishe,ngoja nami katika maisha nifikirie kwenda Fatma angalau mara moja
 
Hapa msabato hawezi elewa wanafundishwa mtu akifa anakaa kaburini hadi siku ya mwisho. Hawawezi kuelewa kwamba kuna watu baada ya kufa wako mbinguni, wanatumia maandiko ya Ellen White kupimia maneno ya Yesu na mitume wake badala ya kinyume chake, yaani hawatumii maandiko kupimia mawazo ya nabii wao mdanganyifu Ellen G. White
Fact
 
Hapa msabato hawezi elewa wanafundishwa mtu akifa anakaa kaburini hadi siku ya mwisho. Hawawezi kuelewa kwamba kuna watu baada ya kufa wako mbinguni, wanatumia maandiko ya Ellen White kupimia maneno ya Yesu na mitume wake badala ya kinyume chake, yaani hawatumii maandiko kupimia mawazo ya nabii wao mdanganyifu Ellen G. White
Hivi Msabato ni Mkristo?
 
Hivi Msabato ni Mkristo?
Mkristo ni yule anayefata nyayo za Yesu alichofanya

Sasa jiulize wasabato wanafata kila alichofanya Yesu

Ila wengine ,sanamu wao

Pagatory wao

Pombe wao

Rozali(hiriz) wao

X mass paganism wao

Easter paganism wao

Upagan wote ikiwepo ibada za sanamu wao

YESU alikuwa na destur ya kufanya ibada siki ya sabato sio dominika

Mpaka HAPO UTAKUWA UMEJUA WASABATO NDIO WAKRISTO,

WENGINE NI WAPAGANI
 
Mambo ya Dini haya.
Kila mtu anavutia kwenye Dini yake.
Mimi kama Mkristo namsikiliza Mchungaji wangu Yesu Kristo jinsi anavyoniagiza kufanya.
 
Hizi story ni kama za uchambuzi wa mipira Tu_haziwezi kuisha leo wala kesho

Ukristo umekuwa ni pori kama mapori mengineyo ukishatumbukia inabidi usahau kunasuka

imani ina mafundisho tata kama ya kihindu..
 
Hizi story ni kama za uchambuzi wa mipira Tu_haziwezi kuisha leo wala kesho

Ukristo umekuwa ni pori kama mapori mengineyo ukishatumbukia inabidi usahau kunasuka

imani ina mafundisho tata kama ya kihindu..
UTUMWA HAUWEZI KWISHA HADI TURUDI KWENYE IMANI ZETU NA MIZIMU YA KIAFRIKA
 
haya wajuzi wa mambo mje na hoja kupinga hoja

Kama ukitaka tuongelee habari za kusikia na mimi naomba unijibu haya...
-Elen White alikuwa depressed na mvuta sigara mpaka anakufa hamjawahi ongelea hili.
-Mbona mlibadili prophecy yake, tangia lini prophexy ikaeditiwa....

Alafu ucpende kuongelea vitu usivyovijua watu zaidi ya 70,000 wa fatima walioona maajabu na wengine si waamini hawawez lakini waliamini...
Jifunze kutafakari kabla ya kuongea lolote...
 
Back
Top Bottom