nakumbuka kitabu cha watoto wa mama ntilie, mwishoni mwandishi akamaliza kwa kuandika, NANI ANAJALI? hii inanikumbusha hadithi ya kisasi niliyoisoma humuhumu JF juu ya tukio alilofanya binti mary, dah! ngoja niishie tu hapa
nimeshindwa kuweka link mkuu, ila nimeku-mention huko tayari kama hujapata alert pitia jukwa la entertainment utaiona ipo hapo mwanzoniHebu nipe link ya hicho kisasi mkuu...
Nimeshaacha hiyo kazi siku mingi...
Ndata huwa haachi kazi moja kwa moja mkuu...perhaps RSM upo purposely na soon unaweza kuwa RSO who knows?(natania tu)
Sawaaa mkuuuNimeshaacha hiyo kazi siku mingi...
Nimekwepa kumuelezea sana shem ili nisilete mgawanyiko wa mawazo. Ila kaka....niseme tu binadamu ni binadamu wa ajabu sana...from your own womb!! From your own waist!!!
Kaka Victor alijiandaa kwa ajili ya watoto wangapi mkuu? James amefaidi nini cha baba yake?
Nashindwa nikubaliane na wewe au mzee Izadin.
Siuzi chai mkuu...
Kaka Victor alijiandaa kwa ajili ya watoto wangapi mkuu? James amefaidi nini cha baba yake?
Nashindwa nikubaliane na wewe au mzee Izadin.
Mkuu Mentor inategemea ndoto za mzazi juu ya familia yake usikute investment yote aliyoiaandaa ilikuwa kwaajili ya watoto wawili au watatu kila mtu ana mipango yake lakini hilo swala la James ni jambo la bahati mbaya lililosababishwa na Bro Victor kutomtambua ni mwanamke wa jinsi gani hasa alimuoa na hii ilisababishwa hasa na kutojishughulisha sana na mahusiano wakati wa ukuaji/ ujana wake, aliingia kichwa kichwa labda kwakujua wanawake wote ni sawa na mama yake au dada zake kitabia
Nimejifunza jamboo hapo kaka victor amenisikitisha jamanii ILA huyo mdada amenikera to the maximum!Hebu semeni neno zaidi...
Teh, Mentor katika ubora wako...story nzuri japo haijamaliziwa..
Nimejifunza jamboo hapo kaka victor amenisikitisha jamanii ILA huyo mdada amenikera to the maximum!
Ngoja aface her own karmaWapi tena haijamaliziwa mdogo wangu?
Semeni nyie...mi sitaki kabisa kumuongelea shemeji yangu!
Sijui ndo mipango ya Mungu ili tujue riziki anagawa yeye!??
Mkuu Mentor Itabid umuongelee na Shemeji pia Maana naamini kuna kina victor wengi hata humu jukwaani so mi nadhani kwa kumuongelea shemeji humu utakuwa umetoa darasa jingine aiseeUmeongea jambo la maana sana bro hapo mwishoni. Pamoja na kwamba lengo langu la mkasa huu ni kuelezea kwamba riziki yatoka kwa Mungu ila ni vyema kutambua kuwa 'ukikosea kuoa...'
Usinifanye nianze kumuongelea shem...