Mmmhhhhh,
Yaani Tshs 700/= kwa embe moja??
Tena hapo ndio Bei ya Jumla??
Ngoja waje
Saharan mango may beMmmhhhhh,
Yaani Tshs 700/= kwa embe moja??
Tena hapo ndio Bei ya Jumla??
Ngoja waje
Ofsini kwenu ni wapi?Kuna mtu anatafuta dodo kwa wingi sana
Unachosema kinaweza kuwa ni sawa au sio sawa ndugu.kweli dar maisha magumu hizo embe ni mia saba??wakati huku kwetu hadi tunalishia ng'ombe
you answered diplomatically! watu wa aina yako mpo wachache sana.Unachosema kinaweza kuwa ni sawa au sio sawa ndugu.
Na ndio mana utakuta kuna sehemu watu wanavaa nguo zilizochanika na zisizofaa lakini wengine nguo nzima kabisa anapigia deki kiongozi.
That's the way life goes mkuu. Karibu.
Kwa hiyo kulisha ng'ombe ni sawa? Nakumbuka juzi juzi wakulima wa korosho mikoa ya kusini walipata bei nzuri wakawa wananunulia mbuzi soda na kuzinywesha. Akili zetu tunazijua wenyewekweli dar maisha magumu hizo embe ni mia saba??wakati huku kwetu hadi tunalishia ng'ombe
Thanks a lot mkuu.you answered diplomatically! watu wa aina yako mpo wachache sana.
i love the way you behave! you deserve many thanks!Thanks a lot mkuu.
Watu kama hao wanahitaji majibu mazuri na ya kiungwana kabisa mkuu na wala sio harsh words.
Kwa sababu kiuhalisia a coin has two sides. And each side is distinct mkuu.
Thanks a lot kiongozi.
Tena msimu wa maembe kabisaMmmhhhhh,
Yaani Tshs 700/= kwa embe moja??
Tena hapo ndio Bei ya Jumla??
Ngoja waje
Unajua biashara, piga kazi kiongoziThanks a lot mkuu.
Watu kama hao wanahitaji majibu mazuri na ya kiungwana kabisa mkuu na wala sio harsh words.
Kwa sababu kiuhalisia a coin has two sides. And each side is distinct mkuu.
Thanks a lot kiongozi.
Karibu mkuu.Sie wa mikoani mzigo unafikaje