Mara nyingi zinakuwa filamu fupifupi kama kb 200 na kuendelea. Unaweza ku-enjoy kufuatana na programme unayotumia kwenye cop. maana nyingine ziko slow. Pia speed itategemea na mtandao unaotumia, nyingine ziko slow mpaka unaboreka. Ni hayo tu kama kuna mwenzetu atujuze zaidi...