Watasalimika wangapi?

Lakini si inasemekana hakuna utekaji bali "vidrama" tu?
 
Utekaji bado upo.. Utekaji na watekaji is for real.... Watu bado wanatekwa na kutokomezwa kusikojulikana na wasiojulikana.. Hali ni mbaya kuliko tunavyodhania.
 
Utekaji bado upo.. Utekaji na watekaji is for real.... Watu bado wanatekwa na kutokomezwa kusikojulikana na wasiojulikana.. Hali ni mbaya kuliko tunavyodhania.
 
Hii kitu inakera Sana kupita kiasi
 
πŸ€”πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­
 
Walioko kwenye list ni wengi.. Pengine hata wewe na mimi tumo!
Swali muhimu: Ni nani atasalimika?
 
sasa ata wakiomaha magufuli,maiti inasikia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…