Watanzania wengi ni ma sadists???????????????

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,063
115,462
NIMEKUWA NAJIULIZA HILI SWALI?????

JE WABONGO WENGI NI MA SADISTS????????

UKISIKILIZA MALALAMIKO YA MAPENZI KUTOKA KWA WATU WENGI UTAKUTA

HAO WANAOWAITA WAPENZI WAO NI KAMA MA SADISTS HIVI WATU WANAO WAPA
WENZAO MAUMIVI KWA MAKUSUDI NA KUFURAHIA.......KUANZIA KWENYE KULAZIMISHA TIGO
NA MENGINEYO......

BUT UKIWATAZAMA WATANZANIA PIA KWENYE MASUALA MENGINE MFANO SIASA
NA HASA UCHAGUZI HUU NA JUZI UTEUZI WA BARAZA LA MAWAZIRI.......

UNAKUTA MFANO WATU WAMEFURAHIA BAADHI YA WATU KUTOKUTEULIWA
KWA SHANGWE BILA SABABU ZA MSINGI SANA....

BINAFSI NAONA WENGI WALIOTEULIWA NA AMBAO HAWAKUTEULIWA
HAKUNA TOFAUTI SANA........NI WALE WALE....

SASA UKITAZAMA WABONGO KWA UJUMLA NA REACTIONS ZAO KWENYE MAMBO
KADHA WA KADHAA HUWA NAONA KAMA WATANZANIA WENGI TUMEKUWA MA SADISTS....

WE UNAONAJE??????


SADISTS-One whom gains pleasure in anothers enjoyment of pain or humiliation
 
Uko sahihi
NIMEKUWA NAJIULIZA HILI SWALI?????

JE WABONGO WENGI NI MA SADISTS????????

UKISIKILIZA MALALAMIKO YA MAPENZI KUTOKA KWA WATU WENGI UTAKUTA

HAO WANAOWAITA WAPENZI WAO NI KAMA MA SADISTS HIVI WATU WANAO WAPA
WENZAO MAUMIVI KWA MAKUSUDI NA KUFURAHIA.......KUANZIA KWENYE KULAZIMISHA TIGO
NA MENGINEYO......

BUT UKIWATAZAMA WATANZANIA PIA KWENYE MASUALA MENGINE MFANO SIASA
NA HASA UCHAGUZI HUU NA JUZI UTEUZI WA BARAZA LA MAWAZIRI.......

UNAKUTA MFANO WATU WAMEFURAHIA BAADHI YA WATU KUTOKUTEULIWA
KWA SHANGWE BILA SABABU ZA MSINGI SANA....

BINAFSI NAONA WENGI WALIOTEULIWA NA AMBAO HAWAKUTEULIWA
HAKUNA TOFAUTI SANA........NI WALE WALE....

SASA UKITAZAMA WABONGO KWA UJUMLA NA REACTIONS ZAO KWENYE MAMBO
KADHA WA KADHAA HUWA NAONA KAMA WATANZANIA WENGI TUMEKUWA MA SADISTS....

WE UNAONAJE??????


SADISTS-One whom gains pleasure in anothers enjoyment of pain or humiliation
 
Its Human nature , kitaalam tunaita ‘The selfsh gene’ 😂😂🤣🤣 , mkoweka huu uzi sticky nitamwaga madini kitabu kizima kuhusu hivi vinasaba vya kichoyio, viko embedded kwenye kila uumbaji wa binadamu mwenye ufahamu (wivu & uchoyo).

Infact , binadamu hutumia wivu na uchoyo as a means of survival and propagation.., its vital to human development..., jamii isiyo na wivu haiwezi kuendelea, ukichunguza, chanzo cha maendele yote makubwa ni wivu na uchoyo. Unakuta watu wanajenga ghorofa refu kuliko yote duniani ili walipite ghorofa la nchi nyingine..., drive kubwa ni wivu....

Unakuta hadi leo Tz hatuwezi kuzalisha hata transformer ya umeme, ni uchoyo tu ndio unasababisha haya,..., na wananufaika na uchoyo huu.., maana sisi tumekuwa tunatajirisha nchi zingine kwa kuagiza kila kitu...., aagh, ngoja niishie hapa
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom