Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,833
- 978
Inashangaza sana kuona lawama zote zinatupiwa kwa serikali. Huo ni uvivu wa kufikiri. Jambo kubwa ambalo unapaswa kulifanya, ni kuona je, wewe unamchango gani kwa serikali yako?
Ni ukweli usiopingika kuwa yapo mambo ambayo serikali haikiwa ikifanya vizuri sana huko nyuma lakini sasa yanatilikiwa mkazo. Mfano mwananchi hajengi barabara ya lami, hajengi miundombinu ya umeme n.k. Lakini wananchi wanayo nafasi kubwa ya kujiletea maendeleo wakishirikiana na serikali.
Hebu jiulize ni kwanini mikoa ya Kaskazini hususani Kilimanjaro na Arusha imeendelea sana? Maji, huduma za afya na elimu pamoja na umeme mpaka vijijini. Je, serikali imewapendelea?
Ni wakati wa watanzania kuamka na kufanya kazi kwa bidii kubwa na maarifa. Ni wakati wa kushirikiana na serikali kuleta maendeleo. Kukaa na kulaumu serikali kwa kila jambo ni uzwazwa. Ni wakati wa kuona ni nini tunaifanyia Tanzania kuliko kutaka tuu kufanyiwa mambo yote na serikali. Inakera na inaudhi.
Amani Msumari
Ni ukweli usiopingika kuwa yapo mambo ambayo serikali haikiwa ikifanya vizuri sana huko nyuma lakini sasa yanatilikiwa mkazo. Mfano mwananchi hajengi barabara ya lami, hajengi miundombinu ya umeme n.k. Lakini wananchi wanayo nafasi kubwa ya kujiletea maendeleo wakishirikiana na serikali.
Hebu jiulize ni kwanini mikoa ya Kaskazini hususani Kilimanjaro na Arusha imeendelea sana? Maji, huduma za afya na elimu pamoja na umeme mpaka vijijini. Je, serikali imewapendelea?
Ni wakati wa watanzania kuamka na kufanya kazi kwa bidii kubwa na maarifa. Ni wakati wa kushirikiana na serikali kuleta maendeleo. Kukaa na kulaumu serikali kwa kila jambo ni uzwazwa. Ni wakati wa kuona ni nini tunaifanyia Tanzania kuliko kutaka tuu kufanyiwa mambo yote na serikali. Inakera na inaudhi.
Amani Msumari