watanzania wanasifa hizi?

watanzania wanasifa hizi?

mtaftaukweli1

Member
Joined
Sep 21, 2012
Posts
27
Reaction score
1
watanzania ivi ni kweli wanasifa hizi? ni wavivu, ila wanataka utajiri, hawtaki kujishughulisha, wavivu wa kufikiri hadi wanadanganywa katika mikataba. hawapendi kusoma lakini kufaulu wanataka, mda wa kufanya kazi hawautumii ipasavyo sasa kwa namna hii watakuwa na maisha bora? na uchumi kukua? nisaidieni
 
jibu unalo mwenyewe,hebu angalia familia yenu toka baba ako, mama ako,babu yako,bibi ako hadi wanao. Halafu utuambie kwenu mna sifa hizo? Usikimbilie watanzania anza familia yako
 
Ila kweli Umaskini wetu upo humo kwenye mambo uliyosema ila umesahau kuwasifia kuwa wanapenda KULAUMU Na Kukata tamaa.
 
Back
Top Bottom