Watanzania wanapenda "molestation"

Watanzania wanapenda "molestation"

Mtoa mada wew ni (tusi kubwa sana)
Ndio nyie mmeelekezwa kwenye kikao/mkutano wa uvccm mjibu hoja mitandaoni.

Kama ndio kukosa hoja mnaanza kutukana jiandaeni mpendwa wenu kutukanwa mpaka aanze kutumia vifungu vingine vya katiba kuwatweza wananchi wake.
 
rais katenda Jambo moja jema Sana. Walisingiziwa hata ukiona mwenendo was ile kesi. Yani yule mwalimu alipangwa kabisa. Rais anajua ukweli was it kes.

Big up Magufuli
Ukisema walisingiziwa unaitusi mahakama kuu na mahakama ya rufaa.
Kisa kumpigia vigelegele magufuli
 
Wameisherehekea vizuri sana siku ya uhuru wa kujiamulia mambo including molestation.

Kiongozi mkuu amewasamehe huku akijivunia na kujipiga kifua kutumia vifungu vya katiba!
Of all criminal mlawiti aliyethibitika!

Yaani watanzania mna maana mlawiti miongoni mwa hawa hawa anaowasaka mkuu wa mkoa wa dar?

Kwani wezi wa kuku wameaamehewa wooote!
Mbona hatukuambiwa!

Kah jamani walawiti wa watoto! (proven beyond reasonable doubt) wanaachiwa huru kabisaaa! Sio hata kupunguziwa adhabu!

Hivi hakuna vifungu vya katiba vinavyompa mamlaka magufuli kuwapa tu hata fidia waliovunjiwa vibanda vyao pembezoni mwa barabara ya morogoro? Kwakweli vingeshangiliwa kupita maelezo.

Uatawi wa jamii unaovurugwa na kukosekana makazi kwa mamia kama sio maelfu ya familia zilizobomolewa nyumba zao kweli haikugusa mshipa wa huruma ya magufuli isipokuwa walawiti! Na watanzania wamelipuka kwa shangwe!

Ulawiti umezijaza nyoyo za watanzania kupita maelezo.

Huruma za aina kwa wahanga wa tetemeko zingeongeza mshikamano wa kitaifa, tena mshikamano chanya.

Sawa bwana ngoja nijite kwenye kupongeza.

Nakupongeza magufuli kwa kutufelisha.

Nakupongeza magufuli kwa kumzidi chifu mangungo.

======Msishangae ikipelekwa kusikojulikana.

Au kuunganishwa na thread nyingine hata kama hazifanani========
Ndugu,kwa namna ambavyo unazungumza inaonekana umeguswa na hili la kuachiwa huru kwa nguza vikingi pole sana ,ila umekosa busara kidogo kwani unatumia lugha kali sana ambayo haiwez kujenga hata kama ina haki,kwangu mm lawama unazomtupia rais wa jamhuri kuhusu ubomoaji wa nyumba hasa ukihusisha tukio hili na la kuachiwa huru babu seya.Naomba niongeree kuhusu hili bomoa bomoa,katika hili rais amefanya kwa utashi mzur ila hilo kwa mtizamo wangu tu hasa nikifanya reference ya nchi ya china ambapo rais wa kipind icho ikiwa kama mwanaharakati alianzisha mfumo wa ukuzaji uchumi na hiyo ilikuwa ni vita kubwa sana kwani kwa record ndogo tu ,huyu jamaa aliu zaidi ya waponzani elfu moja ,akanzisha programs ya kilimo ambapo aliwaambia wazazi wazae watoto kadri wawezavyo na wakati huo huo alikuwa anajua chakula hamna watoto walikufa kwa njaa na wazee pia nao walifariki kwa kifupi yalikuwa ni maafa,ila lengo lake lilikuwa kuongeza population kwa ajili ya nguvu kaz,raia walilaano sana ila kutoka miaka ya 1940 mpaka 1950, china ilipata nguvu kaz na kilimo kikaanza kushamili na ndo maana mpak leo hii china imesimama,NARUDI KWA RAIS MAGUFURI,hili analolifanya lina maumivu na inawezekana likawa halina manufaa kwa kizazi chetu ila kwa watoto zetyu likawa na manufaa.HAKUNA NCHI ILIYOFANIKIWA BILA KUTUMIA MFUMO WA UDIKITETA NA KAMA IPO NAOMBA REFERENCE PLS.
 
Baba Ubaya alikuwa hayupo kwenye 'headline' kwa muda kwa hiyo katafuta kitu cha kumrudisha midomoni mwa watu....naamini anakenua meno tu sasa roho yake kwatuuu!
 
Ndugu,kwa namna ambavyo unazungumza inaonekana umeguswa na hili la kuachiwa huru kwa nguza vikingi pole sana ,ila umekosa busara kidogo kwani unatumia lugha kali sana ambayo haiwez kujenga hata kama ina haki,kwangu mm lawama unazomtupia rais wa jamhuri kuhusu ubomoaji wa nyumba hasa ukihusisha tukio hili na la kuachiwa huru babu seya.Naomba niongeree kuhusu hili bomoa bomoa,katika hili rais amefanya kwa utashi mzur ila hilo kwa mtizamo wangu tu hasa nikifanya reference ya nchi ya china ambapo rais wa kipind icho ikiwa kama mwanaharakati alianzisha mfumo wa ukuzaji uchumi na hiyo ilikuwa ni vita kubwa sana kwani kwa record ndogo tu ,huyu jamaa aliu zaidi ya waponzani elfu moja ,akanzisha programs ya kilimo ambapo aliwaambia wazazi wazae watoto kadri wawezavyo na wakati huo huo alikuwa anajua chakula hamna watoto walikufa kwa njaa na wazee pia nao walifariki kwa kifupi yalikuwa ni maafa,ila lengo lake lilikuwa kuongeza population kwa ajili ya nguvu kaz,raia walilaano sana ila kutoka miaka ya 1940 mpaka 1950, china ilipata nguvu kaz na kilimo kikaanza kushamili na ndo maana mpak leo hii china imesimama,NARUDI KWA RAIS MAGUFURI,hili analolifanya lina maumivu na inawezekana likawa halina manufaa kwa kizazi chetu ila kwa watoto zetyu likawa na manufaa.HAKUNA NCHI ILIYOFANIKIWA BILA KUTUMIA MFUMO WA UDIKITETA NA KAMA IPO NAOMBA REFERENCE PLS.
Mkuu una sababu gani ya msingi kuwatendea watu wako jambo baya (huku jambo zuri lipo pamoja na wewe) kisha unanukuu mambo mabaya ambayo nawe unakiri kuwa ni ya kikatili kufanyiwa wanadamu nawe unajivuna hadharani kweli akili yako inautimamu?

Angewalipa fidia hao wenye vibanda (ambazo ni kodi za watanzania) angepigiwa kelele na nani?

Magufuli ana roho mbaya sana.
 
rais katenda Jambo moja jema Sana. Walisingiziwa hata ukiona mwenendo was ile kesi. Yani yule mwalimu alipangwa kabisa. Rais anajua ukweli was it kes.

Big up Magufuli
Wewe kula baridi huko Denmark. Ikikuchengua sana nenda hapo Christiania kanunue hashish uzichome.
 
Baba Ubaya alikuwa hayupo kwenye 'headline' kwa muda kwa hiyo katafuta kitu cha kumrudisha midomoni mwa watu....naamini anakenua meno tu sasa roho yake kwatuuu!
Anafuraha kubwa
 
Enyi wagalilaya,mlivyomwona akienda zake mbinguni,ndivyo atakavyorudi.(mwenye masikio asikie)
 
The bold na wengineo wachambuzi wa humu, naona kuna haja ya kufuatilia ukweli wa hii kesi kama ilivyofuatiliwa mh 370
 
kweli kabisa ni aibu tupu mkuu.mtu amefiira watoto wadogo unamuachia huru tena kwenye jukwaa kubwa kabisa la siku ya uhuru? yule babu seya anaonekana alifanya kweli bora hata nguza


Mmmm! ni gumu kumeza sipati picha wale watoto na wazazi wapishane na huyu mtu barabarani!
 
Rais anao uhuru wa kusamehe wafungwa. Lakini kwa hili labda kama kuna siasa iliingia kwenye kufungwa hawa jamaa. Vinginevyo rais atakuwa kavuruga sana.
Kwa maelezo ya mkuu ni kwamba pamoja na mamlaka aliyokuwa nayo kusamehe ila lazima apate ushauri toka vyombo vinavyohusika. Sasa mimi sijui alipata ushauri gani hadi akajiridhisha na kuwasamehe. Rais hawezi kuamka na kusoma katiba kisha kuamuru wafungwa watolewe kwanza hakai na hao wafungwa na hajui tabia zao. Kama kuna upotoshaji basi yatakuwa ni makosa ya mabwana jela wanaokaa na wafungwa na walioshauri awasamehe.
 
rais katenda Jambo moja jema Sana. Walisingiziwa hata ukiona mwenendo was ile kesi. Yani yule mwalimu alipangwa kabisa. Rais anajua ukweli was it kes.

Big up Magufuli
Wewe uwezo wako wa ku scrutinize ni mdogo sanaaaaaa, kama ni msomi unaweza kupitia kesi yao na kutafakari ni jinsi gani ilivyokuwa ngumu kutungwa. Na je ni kwa nini hasa? yaani uongozi? ukubwa gani? kugombea nini? Mahakama majaji, walimu, wazazi nao washirikishwe kwenye kutunga kesi hiyo? hata kidogooooo, wewe ni mpuuzi sana wa kufikiri kama wengine wenye mawazo kama hayo!!!!!!!!
 
Tuwe makini, hawa jamaa wasije wakaanza kudandia vitoto vyetu tena mtaani, Simba haachi asili yake.
 
proven beyond reasonable doubt
Hapa kwa wale wanasheria mtufafanulie nini maana yake? sisi tunaelewa juu juu tu kwamba ushahidi ulisioacha chembe chembe yoyote ya mashaka...

Je Mahakama ikisema hivi huwa ina maana ipi juu ya uamuzi itakaoutoa?
 
Rais anao uhuru wa kusamehe wafungwa. Lakini kwa hili labda kama kuna siasa iliingia kwenye kufungwa hawa jamaa. Vinginevyo rais atakuwa kavuruga sana.

Na kama kuna kasiasa kalitumika kumfunga Babu Seya basi iwekwe wazi wasije wakaibuka wengine wakalawiti watoto tena wakitegemea wataachiwa kwa msamaha wa Raisi ajaye.
 
Back
Top Bottom