Watanzania wanamjua Dr. Munga?


Ulijaribu kuuliza kama chadema waliufata ushauri wake, alipotoa ushauri juu yao?
 
Yuko vizuri kuna mashetani yanataka kumchafua
 
Uchaguzi wa TEC wa mara ya mwisho ulikuwa influenced na watu wa TISS. Waliweza kumpenyeza na kisha kumchagu-lisha Askofu Gervas Nyaisonga wa Jimbo la Mbeya kuwa Mwenyekiti wa TEC kwa miaka 5 kuanzia 2018. Eti ilionekana kuwa kanisa liko mbali na Serikali wakati wa Mwenyekiti Tarcissius Ngalelikumtwa wa Iringa hivyo basi wamchague Gervas Nyaisonga kwa vile ana urafiki binafsi na Jiwe.

Hapo ndipo kanisa Katoliki Tanzania limebakia poyoyo katika mstakabali wa kutetea waumini wao.

KKKT waliruka mtego wa TISS uliotaka kumtoa Dr Shoo.
 
duuhh!!! Ndugu yangu ww humjui huyo mtu vizuri labda unamuona tu ni mafia balaa ukimjua vizuri hata kanisani hutaenda uliza waliosoma nae na kufanya nae kaz kwa karibu Mungu ana siri kubwa ndio maana hatumuoni kama tungekuwa tunauwezo wa kuonana nae Tungemhoji maswali mengi nahisi tungemkera
 
Duh hii hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…