Watanzania Waliridhia Rasimu ya Pili ya Katiba?

ichumu lya

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
2,605
2,729
Uzi tayari binafsi sikuridhia kuna maeneo bado yanaukakasi asa madaraka na teuzi za Rais.

Maoni yangu yalipinduliwa na tume.

Rais asiwateue Makatibu Wakuu.

Rais asimteue mwanasheria mkuu wa Serkali.

View attachment 1086877
 
Ni hoja nzuri , ila nadhani sio muda wake kwan hakuna ratiba ya kuwa na katiba mpya kwa sasa.
Kama huko kwenu hiyo ratiba IPO continue......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…