ichumu lya JF-Expert Member Aug 11, 2016 2,605 2,729 May 3, 2019 #1 Uzi tayari binafsi sikuridhia kuna maeneo bado yanaukakasi asa madaraka na teuzi za Rais. Maoni yangu yalipinduliwa na tume. Rais asiwateue Makatibu Wakuu. Rais asimteue mwanasheria mkuu wa Serkali. View attachment 1086877
Uzi tayari binafsi sikuridhia kuna maeneo bado yanaukakasi asa madaraka na teuzi za Rais. Maoni yangu yalipinduliwa na tume. Rais asiwateue Makatibu Wakuu. Rais asimteue mwanasheria mkuu wa Serkali. View attachment 1086877
I J NJOVU JF-Expert Member Oct 22, 2015 3,181 10,496 May 3, 2019 #2 ...Hao wa Tanzania walioridhia ni akina nani?.
hazard Don JF-Expert Member Oct 9, 2017 1,168 949 May 3, 2019 #3 Ni hoja nzuri , ila nadhani sio muda wake kwan hakuna ratiba ya kuwa na katiba mpya kwa sasa. Kama huko kwenu hiyo ratiba IPO continue......
Ni hoja nzuri , ila nadhani sio muda wake kwan hakuna ratiba ya kuwa na katiba mpya kwa sasa. Kama huko kwenu hiyo ratiba IPO continue......
Gavana JF-Expert Member Jul 19, 2008 33,232 8,781 May 18, 2019 #4 Nktlogistics said: ...Hao wa Tanzania walioridhia ni akina nani?. Click to expand... Wachawi wa Lumumba
Nktlogistics said: ...Hao wa Tanzania walioridhia ni akina nani?. Click to expand... Wachawi wa Lumumba