MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.
Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani
Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile
Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani
Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile