Watanzania wakataa "ELIMU YA BURE HADI UNIVERSITY"

Watanzania wakataa "ELIMU YA BURE HADI UNIVERSITY"

Status
Not open for further replies.

MVUMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
5,182
Reaction score
2,330
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile
 
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile

Nakubaliana na wewe 100% endapo hakukuwa na hujuma zozote katika kuhesabu na kuhakiki matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015.
 
Albert Einstein alisema "uendawazimu ni kufanya jambo lile lile' mara nyingine na kwa namna ile ile huku ukitegemea matokeo tofauti" pongezi ziwaendee wakazi wote wa mijini isipokuwa mwanza tu wamefanya kazi nzuri. watu wa vijijini wanastahili hayo maisha milele zote
 
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile

Acha ujinga, watanzania wamekataa kudanganywa kwa sweet words. Hii kitu hatujafika bado! Watanzania ni very intelligent, HONGERA WATANZANIA WENZANGU, hakika tumezungumza!
 
Nakubaliana na wewe 100% endapo hakukuwa na hujuma zozote katika kuhesabu na kuhakiki matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015.


Mwenye macho haambiwi tazama. Tunachokiona na kinachoendelea kinaonyesha dalili ambazo siyo nzuri.
shamra shmara za kumlaki mgombea wa UKAWA hazikuwa reflected kwenye sanduku la kura mf. can you tell Mwanza kimetokea nini?
 
Watanzania wana uelewa wa hali ya juu na kamwe hawawezi kudanganywa na porojo za UKAWA za kutoa Elimu bure mpaka Chuo Kikuu wakati huko nyuma SERA hiyo ilishindikana! Ni vijana wanywa viroba tu ndio walidanganyika!
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile
 
Albert Einstein alisema "uendawazimu ni kufanya jambo lile lile' mara nyingine na kwa namna ile ile huku ukitegemea matokeo tofauti" pongezi ziwaendee wakazi wote wa mijini isipokuwa mwanza tu wamefanya kazi nzuri. watu wa vijijini wanastahili hayo maisha milele zote

Halafu wengi wa hao wa vijijini mara nyingi ndio wa kwanza kukimbilia mijini na kuwaona walioendelea kama ndio wanaowasababishia matatizo wakati ni 'Saddam wa Kuwait' akishirikiana na 'Ghadafi wa Iraq'.
 
Acha ujinga, watanzania wamekataa kudanganywa kwa sweet words. Hii kitu hatujafika bado! Watanzania ni very intelligent, HONGERA WATANZANIA WENZANGU, hakika tumezungumza!

Niambie kutoka katika sakafu ya moyo wako anayedanganya ni nani na ambaye amekuwa akidanganywa ni nani?
Ni nani aliyesema maisha bora kwa kila mtanzania?na hayakuonekana? ni nani alisema kasi mpya ari mpya na nguvu mpya na hazikuonekana?; Ni nani aliyesema mgao wa umeme utakuwa historia na miaka 5 baadaye tuko kwenye mgao mkubwa?

Nani mdanganyifu hapo?
 
Yaani mimi nimeapa, sitomsesha wala kutoa mchango wowote wa kimasomo kwa ndugu yeyote zaidi ya mwanangu wa damu yangu mwenyewe!!!
 
Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile

I think hawakutaka kudanganywa...
 
anyway!!,

  • tusubirie sasa RELI YA KATI, inayoanza kujengwa november
  • Fly-over Tazara nayo itakuwa ni november
  • Watoto wetu kusoma bure mpaka form four ni January..
  • Mahakama maalumu ya mafisadi itafunguliwa akiapishwa

    Ndiyo reflection tunayoiona wakti matokeo yakiendelea kutangazwa na badala yake watanzania wengi wameamua kuishia kidato cha nne na huko kwingine watalipia watoto wao wenyewe.

    Watanzania wameamua bora kukosa elimu ya juu, bora mgawo wa umeme kuendelea, bora kuendelea kusomea chini, bora kukosa dawa na bora akina mama kulala chini kuliko kukiondoa Chama tawala madarakani

    Watanzania wamekataa mfumo mbadala wa kuwaletea maendeleo na wameamua nchi iongozwe kwa mfumo ule ule na watu walele na familia zilezile
 
Acha ujinga, watanzania wamekataa kudanganywa kwa sweet words. Hii kitu hatujafika bado! Watanzania ni very intelligent, HONGERA WATANZANIA WENZANGU, hakika tumezungumza!

Yap! South Africa ndo bingwa kwa Africa lakini hata ndoto za Elimu bure hadi chuo kikuu bado!
 
ari mpya, nguvu mpya....= maisha bora kwa kila mtanzania,. HapaKaziTu....= ?? tusubiri
 
Inasikitisha sana. Sijui ni lini ndugu zetu wa vijijini wataamka toka usingizini?
:angry:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom