(Tatizo la Kenya peace za kuchagua sana)Hujaelewa nini
Kaka kama una link we tupia hata hao wakenya wa mtandaoni tuwape jina la mwishoMapenzi ya wanawake wengi wa Tanzania ni kudanga tu,atapataje hela toka kwa mwanaume ,wengi wana akili za nyumbu.
Wanawake wa kenya wapambanaji,watz tuoe Kenya
(Tatizo la Kenya peace za kuchagua sana)
Sijaelewa.............i
(madem wao wengi wamenyata..)
Sijaelewa.............ii
Pisi = mademu wakali
Wamenyata = hawana mvuto
Lugha za vijana hizo nimechomekea tu
Usjali babaSawa boss. Sisi wengine ni Watu wa Makamo hatuelewi Lugha zenu vijana
kaolewe tu kenyaMapenzi ya wanawake wengi wa Tanzania ni kudanga tu,atapataje hela toka kwa mwanaume ,wengi wana akili za nyumbu.
Wanawake wa kenya wapambanaji,watz tuoe Kenya
Ndio mkuu watoto wakali kule wapo huku kumejaa ma gold diggerNime pita thread moja ya wakenya nkaona wanawasifia haw dada zetu na kwenda mbal kuapa kuja kung'oa tz as am wondering watz tukaoe kenya tena