UTANIPENDA
Member
- Feb 25, 2012
- 31
- 12
Tumegubikwa na habari mbaya kwa muda mrefu.
Habari mbaya za mfululizo kwa watanzania kwa kipindi cha miaka miwili toka uchaguzi wa oktoba 2010
1. Msiba mkubwa baada ya ccm kutangazwa na tume kuwa JK ameshinda heals
2. Mauaji ya maandamano ya arusha
3. Laana ya Richmond na dowans
4. Meli ya mv spice islanders imezama
5. Nchi ipo gizani kweusi
6. Ccm wipinga mapendekezo ya chadema kuhusu katiba
7. Bei za mafuta ya petro na dizel zapanda na kushuku, mafuta yaadimika
8. Bei ya sukari, na chakula yapanda, maisha magumu mlo mmoja kwa Siku
9. Dr mwakyembe amepewa sumu.
10. Mbunge wa chadema Regia mtema amefariki. Ccm amefariki sumari
11. mafuriko dam wakazi wengi wapoteza maisha
12. Mlipuko wa mabomu gongo la mboto
Na Mengine mengi.
LAkini sass tunataka habari njema ya kufurahi na kweli chadema wakishinda tutasahau shida zetu. Chadema lazima mshinde ili furaha yetu tujikumbushie Siku ya uhuru wa tanganyika
Habari mbaya za mfululizo kwa watanzania kwa kipindi cha miaka miwili toka uchaguzi wa oktoba 2010
1. Msiba mkubwa baada ya ccm kutangazwa na tume kuwa JK ameshinda heals
2. Mauaji ya maandamano ya arusha
3. Laana ya Richmond na dowans
4. Meli ya mv spice islanders imezama
5. Nchi ipo gizani kweusi
6. Ccm wipinga mapendekezo ya chadema kuhusu katiba
7. Bei za mafuta ya petro na dizel zapanda na kushuku, mafuta yaadimika
8. Bei ya sukari, na chakula yapanda, maisha magumu mlo mmoja kwa Siku
9. Dr mwakyembe amepewa sumu.
10. Mbunge wa chadema Regia mtema amefariki. Ccm amefariki sumari
11. mafuriko dam wakazi wengi wapoteza maisha
12. Mlipuko wa mabomu gongo la mboto
Na Mengine mengi.
LAkini sass tunataka habari njema ya kufurahi na kweli chadema wakishinda tutasahau shida zetu. Chadema lazima mshinde ili furaha yetu tujikumbushie Siku ya uhuru wa tanganyika