Watanzania tunadanganyika haraka sana

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,151
Reaction score
166,094
Gongo la Mboto eti mwizi kang'atwa Na nyuki.

Ukiitazama hiyo picha nyuki hawamuumi mwizi Ila wamemsambaa usoni.
Bee sting Ina sumu Kali, nyuki wakikung'ata lazima uvimbe.
Sumu/ mwiba wa nyuki ni kifo.
Pichani ni mtu aliye warundika nyuki mwilini kama aluvyofanya tapeli wa Gongo la Mboto
 
hahahaa duuuh.

ili kuendelea kupata vituko vingine kama hivi....bonyeza *123*Tanzania#...[emoji1]
 
Nikikumbuka utapeli wa babu wa Loliondo, mafuta ya ubuyu na mayai ya kware nashindwa kuwashangaa Wabongo
 
Ndio maana makampuni yanaajiri ma CEO na wakurugenzi kutoka nje
 
Sijaelewa content yaku mkuu Bujibuji,

Picha hazionekani
 
Wabongo walipofikia ni Mungu atupe nusura lakini ujinga uliopo ni wa kupitiliza.

Kwanza hawajui kuchambua ukweli na uwongo.

Na tatizo wamekulia kwenye mazingira ya ovyo
 
Wabongo sie Mungu atuhurumie tu
Wachina wametuona malofaaa wamejaza mashine zao za kamari kila kona, ona nyomi la vijana wanaopenda hela za mteremko
Rudi kwenye betting kiruuuuuu utasikia umoja bet, spot bet, tatu mzuka, biko, premier bet, meridian bet etc...angalia nyomi lake napo
In short tumeshaonekana akili hatuna so hata haya mauzauza ya waganga ili watupige hela tu
 
Kajaribu wewe kuiba tuone
 
Inawezekana,lakini so kila mtu huwa anavimba aking'atwa nyuki. Kuna watu hata maumivu hawasikii huyu anaweza kuwa mmoja wao na anatumia kama advantage ya kutapeli watu.
 
Inawezekana,lakini so kila mtu huwa anavimba aking'atwa nyuki. Kuna watu hata maumivu hawasikii huyu anaweza kuwa mmoja wao na anatumia kama advantage ya kutapeli watu.
Unataka kusema kuwa jamaa ana DNA ya huney burgers?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…