Watanzania tumekosa uzalendo

Watanzania tumekosa uzalendo

KAYILAZ

Senior Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
195
Reaction score
30
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.
 
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.

Corrections kidogo hapo kwenye red
wazarendo - wazalendo.
zarau - dharau.
 
Tanzania uchumi wake unakuwa taratibu hii yote ni kutokana na UFISADI!!
 
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.

Lazima tudharauliwe kwani hata kiswahili ambacho tunajivunia hatuwezi kukiandika kifasaha, isitoshe nyanja nyingine? Mtoa mada rudi darasa la kwanza ukajifunze kiswahili ndo uje utuambie upukupuku wako.
 
Ikiwa you define development as improved life quality (in all dimension), GDP/PPP ni vigezo vibovu kabisa kupima maendeleo ya taifa lolote. It does not account for access to service at all.
 
Mtu wa kwanza kutokuwa mzalendo na nchi ulipaswa kumtaja naye ni prof jk aliyesema fedha yetu ni ya MADAFU
 
What....!!?? LMAO...!!!!

Can a dumper like you do research...!!!?

Ur almost KILAZA of its own kind...!!!




imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.
 
yan hata kama tuna mafisadi ndani ya taifa ambao wanalifanya taifa lenye maliasili za kutosha lisiendelee tujisifu tu eti ndio uzalendo?? nina wasiwasi mtoamada hajui maana ya uzalendo, very sad
 
Fanya uchunguzi vizuri utabaini tofauti ya rwanda na Tanzania, ukiacha GDP angalia indexes nyingine kama rushwa, panya road, uzalendo, utaratibu wa kuwajibishana, usafi, uzalendo, poverty, pato la kila mwananchi, utaratibu wa kufanya biashara (zingatia kuwa baraza la biashara la EAC linahamisha makao yake makuu kutoka Arusha kwenda Rwanda kwa sababu ya ukiritimba). Above all wametoka kwenye vita 1994 sisi ambao tunapeda sifa tunajivunia kutokuwa na vita lakini bado ni maskini.
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.
 
Mtu wa kwanza anayetakiwa kuonesha uzalendo wa nchi yake ni rais kama rais wa nchi anaacha kutetea shirika lake la tanesco na kumtetea singasinga unategemea kwa mtu baki uzalendo utoke wapi.
 
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.

ANGALIZO: Hebu kajifunze 'kiswahili fasaha' kwanza. Pili, jifunze 'uandishi makini' kama mtu aliyekwenda shule. Ninalo maanisha ni kuwa andika kila sentensi kwa kituo upate kueleweka.

Kumbuka kuwa si jukumu langu kuhoji elimu yako, lakini lililo wazi ni kuwa uandishi wako unatia kinyaa na aibu katika jamii. Hivyo hilo ni tatizo tafadhali ufanyie kazi haraka kwani elimu haina mwisho. Na wenzako watafurahia kusoma hoja zako na kukuchukulia kuwa ni mtu makini.
 
KAYILAZ unajua maana ya uzalendo au unakariri uzalendo wa kwenye majukwaa?
Uzalendo una maana kubwa kuliko unavyo fikiri. KWAHIYO NAKUOMBA ELEWA MAANA YA UZALENDO KWANZA ndio uje utoe comment zako.
 
Binadamu hazaliwi na uzalendo eti kama unavyozaliwa na nywele,No. Uzalendo unajengwa.
 
tatizo siyo uandishi,tatizo hapa ni UZALENDO.wengi mtanikosoa kwa kutoa mada hii humu ndani,nimegundua wengi wenu mko kiushabiki zaidi na hamna hoja za msingi tofauti na kukosoa uandishi wangu!Tanzania ndiko tulikofikia mpaka sasa kwa kutoleana lugha za kihuni.huwezi kusifia kibovu na mimi nikakubaliana na ubovu huo.toa hoja na siyo kukandia,maana inaonekana nyie mnaojua lugha ya kiswahili fasaha na ndio mnaotubia nchi hii.
 
imefikia hatua watanzania waliokosa uzarendo kwa kuitangaza nchi yetu nzuri kwamba haifai ila Rwanda ndio inafaa.hii kauli imekuwa ikinikela sanaaaaa!!!!najua tutachengana mawazo na baadhi ya wanaojiita wazarendo huku wakiipondea nchi yao na kusifia nchi nyingine....nilijaribu kufanya utafiti kutoka benki kuu ya dunia(IMF)Katika nchi za afrika mashariki,kenya inaongoza kiuchumi kwa pato la taifa GDP/PPP asilimia40%,ikifuatiwa na tanzania ambayo pato lake linakuwa kasi sana pamoja na mafisadi kuiba ni asilimia 28%,Uganda asilmia 20%,Rwanda wanayoisifia ni asilimia8% ya pato la taifa huku Burundi ikiburuza mkia kwa asilimia 3%sawa na pato la NSSF.je nauliza swali ni kigezo kipi watanzania wasio kuwa wazarendo na nchi yao wanaisifia rwanda?acheni hizo tunachopaswa kuwa wazarendo na nchi yetu kama MWALIMU JULIUS NYERERE.hakupenda zarau.HII NI SAWA NA MWANAMKE AKIGOMBANA NA MKE KUTOA SIRI ZAO NJE.huko nje hakuna msaada isipokuwa kuzarauliwa.

Hoja imekaa vizuri sana.
 
Back
Top Bottom