Watanzania tumeanza udini?

Hala
Halafu duniani hamna HAKI tunajidanganya TU...haki ipo siku ya hukumu Kwa mola wetu..
Hapo ww unatumika kubeba miajenda ya wenzie Kwa mgongo wa kudai haki...hivi ni haki gani mnayodai mmenyimwa?ya ushoga na usagaji?
 
Hala

Halafu duniani hamna HAKI tunajidanganya TU...haki ipo siku ya hukumu Kwa mola wetu..
Hapo ww unatumika kubeba miajenda ya wenzie Kwa mgongo wa kudai haki...hivi ni haki gani mnayodai mmenyimwa?ya ushoga na usagaji?
Ni kweli lakini bongo imezidi bora, uingereza au marekani hakuna HAKI lakini viongozi sio wezi wakupindukia, hawapitishi fomu moja, hawaibi kura, wanafanya maendeleo raia tunayaona hadi waarabu wanayatamani wanazamia huko huko kwenye ushoga na usagaji.
 
Kwahiyo haki mnayopigania ni ipi?
 
Kumpata mgombea tunayemtaka na kumuondoa akizingua sio tuliochaguliwa na msoga, hawezi kujali makapuku kama alichaguliwa na mabwenyenye.
Mhmn..mtasubiri sana !!hii hata usa au uk haipo..hivi unafikiri trump ndo alikuwa chaguo la wengi usa? Big no ..alishinda yule mmama ila walipindua matokeo..hata UK huwa hawafurahii utawala wa kifalme ila they have nothing to do with that.
 
Daah hali ni mbaya kwa hotuba ya muheshimiwa imethibitisha rasmu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…