jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Namsikitikia mkoloni wetu Muingereza baada ya kuona ameingia kwenye tope la kuendekeza midomo isiyochoka ya wanasiasa.
Kwa maoni yangu Uingereza imekwama kimaendeleo kwa sababu moja tu
..yaani kujidai inamsikiliza kila mwanasiasa.
Haipiti miaka miwili au mitatu lazima waitishe kura ambazo zinatumia kodi za wananchi.
Nawasihi sana watanzania waondokane na hulka hii mbaya ambayo inawezekana alituachia.
Kwa maoni yangu Uingereza imekwama kimaendeleo kwa sababu moja tu
..yaani kujidai inamsikiliza kila mwanasiasa.
Haipiti miaka miwili au mitatu lazima waitishe kura ambazo zinatumia kodi za wananchi.
Nawasihi sana watanzania waondokane na hulka hii mbaya ambayo inawezekana alituachia.