Watanzania tuitangulize physics mbele

 
mbona zilikuwepo tangu zamani mkuu. Sijui unataka kusema nini
 
Dah! Tafiti (e.g. Distribution of Word Lengths in Various Languages - Ravi Parikh's Website) zinaonesha wastani wa herufi kwa maneno (words) ya Kiingereza ni 8.23. So, hilo neno lenye herufi 189,819 ni wastani wa maneno ya Kiingereza 189,819/8.23 = 23,064.

Dissertations za masters ni wastani wa maneno 3,000. So hilo neno ni equivalent na dissertations 23,064/3000 = 7.7 (8 approx.). Amazing!
 
mi mwenyewe kapa, nafatilia kwa karibu ili tuone wenzake (wapo) watakujaje
Quiz ndogo tu (kama hutanii)
Mwelekeo tulioambiwa na unaosisitizwa kwa sasa unahusu uchumi upi
Kulingana na sensa ya nchi ya hivi karibuni ni kundi gani la umri linaongoza kwa idadi.
Kiwango cha Elimu na maarifa waliyonayo kwa mahitaji ya mwelekeo tunaoelekezwa.
Mkuu piga hiyo quiz kwa undani kabisa halafu rudi umsome Andrew mstari kwa mstari.
 
Ph D ya korosho ndio deal nowadays mkuu! msiwapotezee watoto wenu muda huko vyuoni


Field work ni Mtwara
 
Watu wana vichwa vigumu kweli!! Yaani ni kama uambiwe kuwa Kalamu,kifutio,calculator,kofia na tisheti ni muhimu kwa kilimo cha miwa,na eti Labda hiyo ndiyo sera ya mafundi cherehani! Na ndiyo maana wanaongozwa na karani!!wow!!
 
Pure logic ya mada!!!
 
Hongera mkuu

Hiyo thermodynamics mimi nimeidoma kwenye mechanical engineering. Asikwambie mtu ni balaaaa
 
Nadhani siyo fractional distillation kuisafisha nchi.
Nadhani ulitaka kuandika fractional banking wanayotumia bankers kusafisha mifuko yetu.
Andrew nilichouliza ni thermodynamics ni Fizikia na aliyepo ni mtaalamu wa Kemia wapi na wapi?. Labda Metaphysical.

Paskali
 
Hongera mkuu

Hiyo thermodynamics mimi nimeidoma kwenye mechanical engineering. Asikwambie mtu ni balaaaa

Hiyo thermodynamics mimi nimeidoma kwenye mechanical engineering. Asikwambie mtu ni balaaaa[/QUOTE]
Mwanzo mwanzo thermodynamics pasua kichwa hasa concept of entropy. However ukifahamu principles somo ni tamu kweli- steady flow energy equation ,heat engines ,steam turbines,refrigeration cycle, heat pumps, compressors to name few topics.
Fact:a vast majority of third world mechanical engineering students are guilty of copyright infringement - photocopying steam tables!
 
Kumwelewa huyu mtoa mada, kwa uelewa wetu wazee wa kukebehi itachukua muda.... Subiri uzi ujae nyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…