Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Kaka Andrew Nyerere, umeeleweka. Hongera kwa hoja yako!
Mkuu, utaniumbua bure. Kaka Andrew Nyerere na Deogratius Kisandu ni wa kuwaambia hivyo tu. Hakuna namna nyingine!Kaka tufungulie code ulizozielewa
Mkuu, utaniumbua bure. Kaka Andrew Nyerere na Deogratius Kisandu ni wa kuwaambia hivyo tu. Hakuna namna nyingine!
hahahaaaaaMkuu, utaniumbua bure. Kaka Andrew Nyerere na Deogratius Kisandu ni wa kuwaambia hivyo tu. Hakuna namna nyingine!
Mkuu vpPia somo la metaphysicotheo-logico-cosmolo- nigology lipewe kipaumbele.
inawezekana....we unaona hiyo ni hali ya kawaida?Mkuu vp
Jani linapanda?
Thermodynamics somo pana na muhimu kwenye fani ya engineeringThermodynamics mboni ni chemistry Andrew au?
Sijakuelewa, basi acha! Ukitaja fizikia nashutuka! unganisha naccm-------- nimepoteaWhere do we go from here?
Matatizo yetu ni elimu. Tazama topics zilizopo katika physics:
theoretical physics, particle physics, medical physics.thermodynamics ambayo ni muhimu katika viwanda.
Huu ndio mkakati wa CCM bila shaka. Ndio maana walimchagua Magufuli.
Pita pembeni, akili yako haitoshi kuwa hapaKwa nini usijiite ANDREW VIROBA au Andrew Pogba..kuliko kulifedhehesha jina la NYERERE..?
Asante kwa ushauri ndugu...Pita pembeni, akili yako haitoshi kuwa hapa
wenzako tunaviziavizia tunapoona post za huyu baba