Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Bila hata aibu anasimama na kujitapa nilipata 98% sababu CHADEMA ya Lissu haikushiriki uchaguzi!
Hata kama madaraka ya uraisi ni matamu ndio kwa uongo huu! Watu hawakujitokeza kabisa kupiga kula hata Mungu shahidi hiyo mil 31 ya wapiga kura inatoka wapi?
Haya watu wameuwawa kisa tu wameimba hawakutaki wanauwawa watu hadi majumbani kwao hii ni dhuluma ya uhai wa watu kwa ajili ya madaraka.
Alafu unaunda tume ya watu wako. Wote kuanzia Jaji Chande mpaka wajumbe wote ni watu wa CCM .
Kwa mantiki hii hii tume ni huru?
Watanzania hawayatambui matokeo ya Oktoba 29.
Na hawatayatambua matokeo ya tume hii ya upande mmoja kama ya jaji Mwambegete.
Hata kama madaraka ya uraisi ni matamu ndio kwa uongo huu! Watu hawakujitokeza kabisa kupiga kula hata Mungu shahidi hiyo mil 31 ya wapiga kura inatoka wapi?
Haya watu wameuwawa kisa tu wameimba hawakutaki wanauwawa watu hadi majumbani kwao hii ni dhuluma ya uhai wa watu kwa ajili ya madaraka.
Alafu unaunda tume ya watu wako. Wote kuanzia Jaji Chande mpaka wajumbe wote ni watu wa CCM .
Kwa mantiki hii hii tume ni huru?
Watanzania hawayatambui matokeo ya Oktoba 29.
Na hawatayatambua matokeo ya tume hii ya upande mmoja kama ya jaji Mwambegete.