Boss we yajayo hayatakuhusu wala hayatawahusu ndugu na rafiki zako kula bata tuNilifikiri mnaingia barabarani, no?
Hapa kichwa kimewaka motoYaani mjipange kweli kweli.
Kuna wale waomba hela kutoka vijijini kwetu.Kila mtu atajijua na familia yake. Tumekataa njia salama
Subiri baada ya miaka miwili utaingia barabarani bila kushinikizwaMakamanda tujikusanye sasa tuingie barabarani tukiongozwa na mh. Mstaafu mbowe tuache kulalamika nyuma ya keyboard huku haisaidii
Mi niawanyima hata majiKuna wale waomba hela kutoka vijijini kwetu.
Awamu hii tusilaumiane kila mtu akaombe kule alikopiga kura kwa kuahidiwa barabara
Sema kweli?Boss we yajayo hayatakuhusu wala hayatawahusu ndugu na rafiki zako kula bata tu
Nchi yetu ni moja ya nchi inayopkea misaada na mikopo mingi kutoka nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa kuendeshea miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo hapa nchini.
Fedha hizi,hasa misaada,zinatusaidia kupunguza nakisi ya Bajeti lakini pia zinatupa uwezo wa kulipa deni la Taifa kwa kufidia hela tunazotumia kuhudumia hilo deni ambalo teyari ni kubwa mno.
Miradi mingi kama ule wa Ubungo interchange na miradi mingine mingi inagharamia na fedha za mikopo kutoka Benki ya Dunia na shirika la fedha la kimataifa(IMF).
Pia,huduma nyingi za kijamii kama afya,maji na elimu zinaendeshwa kwa misaada ya nchi wahisani kupitia mashirika yao ya misaada au kutoka katika serikali hizo moja kwa moja.
Na wakati huo huo tukumbuke sehemu kubwa ya makusanyo yetu yanatumika kulipa mishahara ya wafanyakazi na kuhudumia deni la Taifa.
Sasa,kwa jinsi tulivyoendesha huu uchaguzi kwa uporaji wa wazi wa matakwa ya wananchi na kwa kupuuza wazi wazi ushauri na wito wa nchi wahisani wa kutaka tuwe na uchaguzi ulio huru na wa haki,kitachofuata ni nchi hizi na mashirika yao ya fedha kukata misaada na mikopo huku tukiwa hatujajiandaa kukabiliana na hali hiyo na mwananchi wa kawaida ndio atakwenda kubeba mzigo huu wa maumivu huku CCM na serikali yake wakibeba gharama ya anguko la kisiasa wananchi watapoanza kuumia.
Hivyo,watanzania tujifunge mkanda angali mapema kukabiliana na magumu yatayotokana na huu uchaguzi kwani kidogo tunachokusanya ndio kitatumika kuendeshea serikali, kulipa madeni, kugharamia huduma za Jamii na miradi mbalimbali.
Halikadhali, sitashangaa kuona baadhi ya miradi ikikwama kuendelea huko mbeleni na pia tusiwe kabisa na miradi mipya ndani ya hii miaka mitano ijayo au tukawa nayo kwa kusuasua.
Nje ya mada ila mule mule:Mtarajie na Bunge live kurudi.
Time will tell.
[/QUOTE
Miaka mitano ijayo magufuli anaenda kuifanya Tanzania iwe na maendeleo kuzidi hata nchi za Ulaya magharibi
2015 watanzania wengi sana waliondoka nchini, nadhani mwaka huu mpaka 2021 wengi zaidi wataikimbia nchiNchi yetu ni moja ya nchi inayopkea misaada na mikopo mingi kutoka nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa kuendeshea miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo hapa nchini.
Fedha hizi,hasa misaada,zinatusaidia kupunguza nakisi ya Bajeti lakini pia zinatupa uwezo wa kulipa deni la Taifa kwa kufidia hela tunazotumia kuhudumia hilo deni ambalo teyari ni kubwa mno.
Miradi mingi kama ule wa Ubungo interchange na miradi mingine mingi inagharamiwa na fedha za mikopo kutoka Benki ya Dunia na shirika la fedha la kimataifa(IMF).
Pia,huduma nyingi za kijamii kama afya,maji na elimu zinaendeshwa kwa misaada ya nchi wahisani kupitia mashirika yao ya misaada au kutoka katika serikali hizo moja kwa moja.
Na wakati huo huo tukumbuke sehemu kubwa ya makusanyo yetu yanatumika kulipa mishahara ya wafanyakazi na kuhudumia deni la Taifa.
Sasa,kwa jinsi tulivyoendesha huu uchaguzi kwa uporaji wa wazi wa matakwa ya wananchi na kwa kupuuza wazi wazi ushauri na wito wa nchi wahisani wa kutaka tuwe na uchaguzi ulio huru na wa haki,kitachofuata ni nchi hizi na mashirika yao ya fedha kukata misaada na mikopo huku tukiwa hatujajiandaa kukabiliana na hali hiyo na mwananchi wa kawaida ndio atakwenda kubeba mzigo huu wa maumivu huku CCM na serikali yake wakibeba gharama ya anguko la kisiasa wananchi watapoanza kuumia.
Hivyo,watanzania tujifunge mkanda angali mapema kukabiliana na magumu yatayotokana na huu uchaguzi kwani kidogo tunachokusanya ndio kitatumika kuendeshea serikali, kulipa madeni, kugharamia huduma za Jamii na miradi mbalimbali.
Halikadhali, sitashangaa kuona baadhi ya miradi ikikwama kuendelea huko mbeleni na pia tusiwe kabisa na miradi mipya ndani ya hii miaka mitano ijayo au tukawa nayo kwa kusuasua.
Nje ya mada ila mule mule:Mtarajie na Bunge live kurudi.
Time will tell.
We are in troubleBunge litarudishwa kuwa "Live", kwasababu ya kuongozwa na Utawala wa kimasikini kifikra.
Nchi itaawaliwa kwa mawazo ya mtu mmoja, anaejiona malaika hakosei, anaejiona ana akili kuliko hata Ma Proffesor waliomfundisha.
Hatoboi mpaka 2025. Watamng'oa.