fundibaskeli
Member
- Nov 9, 2016
- 84
- 115
Juzi kuna rafki angu kaja dukan kwangu nimkopeshe simu atanilipa mwisho wa mwezi....nikamtolea mbavuni......leo nmemkuta kwenye duka la rafki yangu ananunua simu kwa hela cash Na alivo niona wala hata hakuona aibu...... Jaman...jaman wabongo tubadilike