- Thread starter
- #21
Hu
Huu sasa udini.thread simple .kwa mtazamo wa walio wengi .
marais waislamu ni dhaifu .
Huu sasa udini.thread simple .kwa mtazamo wa walio wengi .
marais waislamu ni dhaifu .
Unataka kusema wote waliopita hawakuwa na sifa hizi?.Nani kati ya Watanzania unaowajua ana sifa hizi?Why utulimit kati ya hao wawili wa ovyoovyo? Eti Dhaifu vs Dikteta... Hatuwezi kuwa na Raisi jasiri, mwerevu, mwanademokrasia na mwenye hekima? Hawa hatuwapendi to that extent
Tangu tupate Uhuru,wafuatao waliitwa marais madikteta Tz:Nyerere,Mkapa na sasa Magufuli.Marais wafuatao waliitwa Marais dhaifu:Mwinyi na Kikwete.Watanzania wamekuwa na kawaida sasa akitoka rais wanayemwita dikteta anayefuata ni yule wanayemwita dhaifu.Kila anayeondoka Watanzania humtukana aidha kwa udikteta wake au udhaifu wake.Nyerere walimwita "haambiliki" kutokana na kutopenda kuchukua ushauri aliokuwa anapewa.Mwinyi alidhihakiwa na kuitwa "mzee ruksa" kwa kuruhusu kila kitu.Mkapa aliitwa "mbabe na dikteta" kutokana na misimamo yake.Kikwete akaitwa "rais dhaifu" kwa kuruhusu sana demokrasia ifanye kazi.Magufuli sasa anaitwa "dikteta" na kuwa hasikilizi ushauri.Kwa fomula hii,rais atakayefuata atakuwa rais atakayeitwa "rais dhaifu". Akatayefuata baada yake atakuwa dikteta.Lakini wote wataondoka wanatukanwa kwa udikteta wao au udhaifu wao.WATANZANIA TUAMUE,TUNATAKA RAIS DIKTETA AU DHAIFU.
WATANZANIA TUAMUE,TUNATAKA RAIS DIKTETA AU DHAIFU.
Anafanya hayo Magufulitunataka kiongozi atakae tatua matatizo yanayotukabili
Anafanya hayo MagufuliTunaitaji kiongozi atakae tatua matatizo na kuendeleza taifa.
Magufuli no mkali kwa wala rushwa na wauza unga ila sio dikiteta wala dhaifuHatumtaki dhaifu wala dikteta.
Hio B ikitekelezwa hayo mengine pesa za kuyatekeleza zitatoka wapi??? Watu wenyewe hamtaki kulipa kodi...mkibinywa tu kidogo mnalialia oooh tunakamuliwa visababu vingiiii....Tunataka Rais mwenye kujali wananchi wake:
A - Huduma za Afya Kwanza (Madawa Hospitalini yawepo ya kutosha na chanjo)
Sasa tunakata Bima ya Afya ya TAIFA, halafu unaandikiwa nenda pharmacy --
B- Mikopo kwa wanafunzi wote walio dahiliwa na TCU kuingia chuo kikuu
Kumbuka ni Mkopo.. na sio Msaada
C- Kutengeneza ajira
D - Nishati kuwa nafuu
E - Kukusanya kodi kwenye Madini na Gesi
F - Uhuru wa Kujieleza
G- PESA YA KAGERA iende kwa wahusika
H - FAO LA KUJITOA PPF
NA HUO Udikteta tuuone kwa Mafisadi akina LUGUMI, ESCROW, na Majambazi
Hatutaki ujinga wa kushikia bunduki Watanzania wasio hata na kisu mkononi
Mpelekee hii Habari Mzee JPM, Ni Ushauri tu
Umemaliza kila kitu na ngoja niishie hapa kwani ambaye hajaelewa ni kilazaNeither of them,
Tunahtaji rais mwerevu ambaye anaweza ku "serve the best for last" Maana tumechelewa.
Pia ni vigumu kufahamu kias cha uzuri wa rais aliyepo, kipimo ni kura 2020, ingawa kwa kawaida aina ya rais km Magufuli kura zake ztaongezeka kwa kuwa anagusa matarajio ya kundi kubwa la watanzania km ilivyotokea kwa Mkapa kupanda chart na si kushuka km ilivyomtokea Kikwete
Anafanya hayo Magufuli
Soma nilichoandika sio kunilisha maneno... wewe dada vipi? Nani anaongelea waliopita au hujui hoja iliyo mezani ni ipi?Unataka kusema wote waliopita hawakuwa na sifa hizi?.Nani kati ya Watanzania unaowajua ana sifa hizi?
Tena hakuapa kuilinda tu, aliapa pia kuitetea na ndio maana akakabidhiwa vyombo vya kumwezesha kufanikisha hilo jukumu la kulinda na kutetea hiyo Katiba. Kiongozi tuliye naye hivi sasa kashindwa kuilinda wala kuitetea na badala yake kwa jeuri akaamua kuivunja...kitendo hicho ni sawa uhaini na ni uhalifu usiosameheka kwani kunahatarisha hatma ya taifa.Tunataka rais anayeheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Baaasi