Haya maeneo uliyoyataja ndio yatakuwa wafaidika wa huu uwekezaji mkubwa na mzuri sana mkuuMnampango m-baya na wanachi wanaoishi maeneo ya kigamboni
George bush na mji wa kigamboni
mkataba umekuja kivingine
Vijibweni ,mjimwema ,kibada na maeneo mengine jiangeni kwenda kuishi kisarawe two
Samia ,hebu nipesababu Moja ,muhimu kwa nn Kenya na maeneo mengine waliwatimua hawaHaya maeneo uliyoyataja ndio yatakuwa wafaidika wa huu uwekezaji mkubwa na mzuri sana mkuu
Nyie mnaokuja hapa na mada ya dude lenu kulipamba , wakati ni la kipumbavu , ipo siku sio zenu mtakufa midomo ikiwa wazi , na limkataba lenu la kipumbavuMakubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.
Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.
Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.
DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.
Hongera Rais wetu.
TRA !Kama akiibinafsisha Na TRA mimi nitakuwa pamoja na mama
Viongozi wetu hawana huruma na hii nchi hata kidogo ni mwendo wa kujimegea maeneo na kupiga mnada tuHatujapona maumivu ya gas kenge nyie mmeshatupiga tena kwenye mshono
Sheria na utaratibu utaboreshwa zaidi Ili kuendana na mahitajiV.A.T, import duty, inspection fee nk zitakuwa chini ya muwekezaji au Mamlaka za serikali? Kama ni muwekezaji maana yake atakuja na rate za chini kama ni TRA basi formula na calculator itabaki ile ile na bei ya vitu itabaki ile ile ila unafuu ni muda wa kuchukua mzigo utapungua pamoja na garama za kuhifadhi
Nimemtukana kabisaPepo mchafu toka
Mbwa kasoro mkia na mtia saini wa huo mkataba mmnatafuta jambo na mtalipata tuMakubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.
Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.
Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.
DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.
Hongera Rais wetu.
UnakatwaMakubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.
Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.
Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.
DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.
Hongera Rais wetu.