Watanzania na milango ya maduka too much

nunu

Member
Apr 11, 2011
38
3
Katika pitapita za hapa jijini na hata huko mikoani kunakasi sana ya kila jengo kuwa na milango ya kukodisha maduka. Maana yake ni kuwataifa limejipambanua kama wachuuzi wa bidhaa za ndani na nje. Hizi za nje maanayake ni matumizi ya dollar ambazo uwiano wa kuingiza dollar na kuzitumiakuagiza bidhaa si mzuri. Lini tutajengania na uwezo wa viwanda vidogo vidogo, vya kati na vikubwa?

Tukililea hili litakausha hata akiba ndogo ya dollar zetu kwa uchuuzi wetu. Muhimu tutengenezebidhaa tuuze nje tupate dollars. Je hatua zipi zichukuliwe ukizingatia sera za biashara ni nzuri tu??
 
Katika pitapita za hapa jijini na hata huko mikoani kunakasi sana ya kila jengo kuwa na milango ya kukodisha maduka. Maana yake ni kuwataifa limejipambanua kama wachuuzi wa bidhaa za ndani na nje. Hizi za nje maanayake ni matumizi ya dollar ambazo uwiano wa kuingiza dollar na kuzitumiakuagiza bidhaa si mzuri. Lini tutajengania na uwezo wa viwanda vidogo vidogo, vya kati na vikubwa? Tukililea hililitakausha hata akiba ndogo ya dollar zetu kwa uchuuzi wetu. Muhimu tutengenezebidhaa tuuze nje tupate dollars. Je hatua zipi zichukuliwe ukizingatia sera za biashara ni nzuri tu??

Mazingira bado hayaruhusu kuwekeza kwenye hivyo viwanda kwa sisi wazawa. Kwanza umeme bei juu, maji bei juu, miundo mbinu ndio hivyo tena hamna usafiri wa nafuu kwakuwa Reli zote mbili zimekufa. Tumebakia kubebesha mizigo kwenye mafuso na kodi nazo hazieleweki. Bado huo mzigo kama ni malighali etc haujasimamishwa barabarani kila Traffic Police akiona mzigo wa business anataka chochote japokuwa documents zote zipo.

Huko kwenye kutafuta vibali nako ndio usiseme afadhali akija Mzungu/Muhindi/Mwarabu hata huko kwenye kutafuta vibali serikalini watamnyenyekea kuliko sisi kwa sisi wenyewe ngozi nyeusi. Waki consider haya yote watu wanaona bora wanunue viti 2 vya dentist na mashine 2 za kunyolea au waende China wakalete FONG KONG!
 
Ubunifu hatuna! Ukiona mwenzio katoka kwa style ya duka nasi tunafata huko huko! Tunahitaji mabadiliko kwa wenzetu wana shopping malls sisi bado hatujafika huko, lakini kwa hili somehow linatusaidia meaning uchumi unabaki kuwa wetu na mtaji unaoweza kuwekeza ni mdogo.
 
Mazingira bado hayaruhusu kuwekeza kwenye hivyo viwanda kwa sisi wazawa. Kwanza umeme bei juu, maji bei juu, miundo mbinu ndio hivyo tena hamna usafiri wa nafuu kwakuwa Reli zote mbili zimekufa. Tumebakia kubebesha mizigo kwenye mafuso na kodi nazo hazieleweki. Bado huo mzigo kama ni malighali etc haujasimamishwa barabarani kila Traffic Police akiona mzigo wa business anataka chochote japokuwa documents zote zipo.

Huko kwenye kutafuta vibali nako ndio usiseme afadhali akija Mzungu/Muhindi/Mwarabu hata huko kwenye kutafuta vibali serikalini watamnyenyekea kuliko sisi kwa sisi wenyewe ngozi nyeusi. Waki consider haya yote watu wanaona bora wanunue viti 2 vya dentist na mashine 2 za kunyolea au waende China wakalete FONG KONG!
You nailed it buddy
 
Back
Top Bottom