Katika pitapita za hapa jijini na hata huko mikoani kunakasi sana ya kila jengo kuwa na milango ya kukodisha maduka. Maana yake ni kuwataifa limejipambanua kama wachuuzi wa bidhaa za ndani na nje. Hizi za nje maanayake ni matumizi ya dollar ambazo uwiano wa kuingiza dollar na kuzitumiakuagiza bidhaa si mzuri. Lini tutajengania na uwezo wa viwanda vidogo vidogo, vya kati na vikubwa?
Tukililea hili litakausha hata akiba ndogo ya dollar zetu kwa uchuuzi wetu. Muhimu tutengenezebidhaa tuuze nje tupate dollars. Je hatua zipi zichukuliwe ukizingatia sera za biashara ni nzuri tu??
Tukililea hili litakausha hata akiba ndogo ya dollar zetu kwa uchuuzi wetu. Muhimu tutengenezebidhaa tuuze nje tupate dollars. Je hatua zipi zichukuliwe ukizingatia sera za biashara ni nzuri tu??