Watanzania mnaweza nini?

Watanzania mnaweza nini?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,883
Reaction score
67,312
Tuweke ushabiki pembeni watz mnaweza nini hasa kufanya mpka mtu akasema yes umefanya vyema?

Naamini watu wengi mnaopinga uwekezaji wa bandari wengi hamjasoma mkataba mnatembea na hoja z lissu na kumuabudu lissu kuwa ana akili sana

Mna msifu lissu ana akili kwasababu ninyi hamna akili na wavivu kusoma mnataka mtafuniwe kila kitu hivi dunia ya leo utakaa usikilize maneno ya kuambiwa? Jiongezeni

Hii bandari ipo hapa miaka na miaka imekuwa inafanya vibaya kila miiaka leo mama samia kachukua hatua ya kuleta mwekezaji ambaye anyone anaonekana kuwa na ubobezi imara lakini wanatokea wapumbavu kupinga

Atakacho sema lissu ndicho na wao wanakibeba bila kukichuja wala kukichambua zaid ya kujazana ujinga tu

Airport pale kuna mwekezaji mjeruman kashafukuza wafanyakazi mpaka anachoka watz wazito kufanya kazi wakifanya wanalipua
 
Back
Top Bottom