Tanzania iko kwenye hatari ya kubambikwa katiba ambayo watu wengi hawaielewi, hawaiamini na ni katiba ya kichama.
Kwenye nchi za wenzetu kama Kenya na Uganda hatujaona watu wengi wakipinga katiba kwasababu ni katiba ya watu. Katiba haitakiwi kuwa na ubishano kama kweli ina nia njema lakini katiba ya Tanzania inakuwa kama inapelekwa na kulazimishwa hadi kiwango cha viongozi kuja na ratiba za kushinikiza ipitishwe.
Je kama katiba ni nzuri haraka za nini kwenye sheria ya nchi tena ukizingatia imepitishwa kwa ujanja unjanja tu na chama kimoja tu!
Kwenye nchi za wenzetu kama Kenya na Uganda hatujaona watu wengi wakipinga katiba kwasababu ni katiba ya watu. Katiba haitakiwi kuwa na ubishano kama kweli ina nia njema lakini katiba ya Tanzania inakuwa kama inapelekwa na kulazimishwa hadi kiwango cha viongozi kuja na ratiba za kushinikiza ipitishwe.
Je kama katiba ni nzuri haraka za nini kwenye sheria ya nchi tena ukizingatia imepitishwa kwa ujanja unjanja tu na chama kimoja tu!