Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Nawashauri Watanzania hasa vijana mjiunge na ccm mfaidi keki ya nchi la sivyo keki ya nchi itakuwa inaliwa na wajanja wachache pamoja na wahamiaji wanaokuja kutafuta fursa nchini Tanzania
Vijana wengi wa kitanzania ni fuata mkumbo hawajui kuyatafakari mambo kwa kina
Wasichojua kuwa Tanzania ni nchi ya ki communist hiyo demokrasia ni geresha tu ili mabeberu yasiisumbue nchi yetu
Ila kikweli mfumo unaofanya kazi nchini Tanzania ni mfumo wa chama kimoja
Ndio maana hata palipohitajika kuanzisha siasa ya vyama vingi Mzee Nyerere alimuandaa rafiki yake wa siku nyingi mzee mtei namna ya kuunda chama cha siasa vile vile aliwaandaa majasusi kina marando na kina mbatia namna ya kuendesha siasa hata Caf ya maalim seif inabaraka za mwinyi
Kikubwa asilimia 97% ya vyama vya siasa nchini vimeanzia ndani ya ccm hata yule kijana wakigoma chama chake kina baraka za jk' bila jk asingeweza kusajili
Sasa basi wasichojua vijana wanagawanywa ili kundi la watu wachache waendelee kuitafuna nchi huku miaka ikienda mbele
Vijana acheni kujitoa ufahamu jiungeni na ccm mkapambane mpate nafasi ya kuongoza nchi
Kiufupi ccm haiwezi kutoka madarakani kutoka madarakani kwa ccm labda ibadili jina kama ilivyobadili kutoka TANU
Huu ni ukweli mchungu ambao vijana hawawezi kuikabili hata ukifuatilia siasa za uchina sio kwamba watu wote wanaridhika na mfumo huo ila kwa kuwa waasisi waliamua nchi iendeshwe hivyo Hakuna wa kubadilisha
Vijana mtaendelea kupewa matumaini hivyo mara Tundu lissu atashinda urais mara mbatia atashinda urais ili muendelee kubaki huko msiingie ccm wenzenu waendelee kula
Matokea yake wageni kama wahindi,waarabu,wasomali wanatumia udhaifu wetu wa fkra tofauti kujinufaisha ndani ya ccm na wanakuwa na ushawahishi ndani ya nchi Kuliko nyie wamatumbi ambao ni wazawa
Acheni ujinga jiungeni na ccm,msilalamike ccm kuna mafisadi wewe unajukumu la kwenda kupambana na mafisadi kama magufuli anavyoyashughulikia akiwa Ndani ya ccm
Kuna vijana wanajipa matumaini ccm itavunjika hizo ni ndoto za mchana kwa mfumo wa CCM wa kicomunist hiki chama kipo sana kwa karne moja ijayo
Nyie endeleeni kususa huku kundi fulani likifaidi nchi
Ila kama mnataka mabadiliko jiungeni na ccm myatafute mabadiliko
Vijana wengi wa kitanzania ni fuata mkumbo hawajui kuyatafakari mambo kwa kina
Wasichojua kuwa Tanzania ni nchi ya ki communist hiyo demokrasia ni geresha tu ili mabeberu yasiisumbue nchi yetu
Ila kikweli mfumo unaofanya kazi nchini Tanzania ni mfumo wa chama kimoja
Ndio maana hata palipohitajika kuanzisha siasa ya vyama vingi Mzee Nyerere alimuandaa rafiki yake wa siku nyingi mzee mtei namna ya kuunda chama cha siasa vile vile aliwaandaa majasusi kina marando na kina mbatia namna ya kuendesha siasa hata Caf ya maalim seif inabaraka za mwinyi
Kikubwa asilimia 97% ya vyama vya siasa nchini vimeanzia ndani ya ccm hata yule kijana wakigoma chama chake kina baraka za jk' bila jk asingeweza kusajili
Sasa basi wasichojua vijana wanagawanywa ili kundi la watu wachache waendelee kuitafuna nchi huku miaka ikienda mbele
Vijana acheni kujitoa ufahamu jiungeni na ccm mkapambane mpate nafasi ya kuongoza nchi
Kiufupi ccm haiwezi kutoka madarakani kutoka madarakani kwa ccm labda ibadili jina kama ilivyobadili kutoka TANU
Huu ni ukweli mchungu ambao vijana hawawezi kuikabili hata ukifuatilia siasa za uchina sio kwamba watu wote wanaridhika na mfumo huo ila kwa kuwa waasisi waliamua nchi iendeshwe hivyo Hakuna wa kubadilisha
Vijana mtaendelea kupewa matumaini hivyo mara Tundu lissu atashinda urais mara mbatia atashinda urais ili muendelee kubaki huko msiingie ccm wenzenu waendelee kula
Matokea yake wageni kama wahindi,waarabu,wasomali wanatumia udhaifu wetu wa fkra tofauti kujinufaisha ndani ya ccm na wanakuwa na ushawahishi ndani ya nchi Kuliko nyie wamatumbi ambao ni wazawa
Acheni ujinga jiungeni na ccm,msilalamike ccm kuna mafisadi wewe unajukumu la kwenda kupambana na mafisadi kama magufuli anavyoyashughulikia akiwa Ndani ya ccm
Kuna vijana wanajipa matumaini ccm itavunjika hizo ni ndoto za mchana kwa mfumo wa CCM wa kicomunist hiki chama kipo sana kwa karne moja ijayo
Nyie endeleeni kususa huku kundi fulani likifaidi nchi
Ila kama mnataka mabadiliko jiungeni na ccm myatafute mabadiliko