PostGE2025 Watanzania hatuwataki CCM na Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

canular

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
1,071
Reaction score
1,281
CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki

Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua

Samia achia nchi yetu hatukutaki, hatuwapendi, hatujawachagua tokeni msituletee machafuko kwa roho zenu mbaya za chuki wivu na kiburi

Badala ya kutumia akili kuliongoza taifa mnatumia mabavu na bunduki, watanzania hatutaki kuongozwa na wasiojitambua.
 
Yani sijui wanang'ang'ania Nini?!
 
Inatia hasira sana kuona mtu mmoja bado anang'ang'ania madaraka licha kuharibu hivi, yote hii ni kwa sababu tu ya maslahi ya familia yake na ya boss wake mstaafu basi.
 
Mimi ccm naitaka samuya simtaki
 
Wamesema eti hawatoki mpaka wakatwe vichwa
 
Kutomtaka kwenu nyie watanzania wa TEC sio kesi, sisi wengine tunamtaka vizuri tu. Jaribuni kumtoa muone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…