Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Nimestuka kuna wizi mbaya unaofanywa na wasanii hasa wa filamu,utakuta msanii anatoa movie inapart mbili,wakati angeweza kuweka part 1 tu,ila utatizama part one inaishia mtu anaenda kazini kisha unaambiwa watch part two,haa ni wizi,wenzenu hawafanyi hivyo,that why watu wananunua zile za buku buku,ila hamna noma ngoma droo,mi nanunua za buku napata hadithi yote ubora potelea mbali ujumbe nimeshapata,wewe msanii unapata hela ya kuvaa miwani na pombe