Kuna haja bunge kutunga sheria ya kuwabana wenye makampuni ili watoe huduma nzur zaid.Hapa naongelea hasa simu na umeme(TANESCO).kama wakikata mawasiano kwa mda flan wawalipe wateja wa 10%ya mda waliokata kma vile mda wa maongez,mb za bure na sms za bure,pia unit kwa umeme.Hii itawafanya kuwa makin na kutoa huduma zao kwa ubora zaid.
Nawasilisha.
Nawasilisha.