TANZIA Watano wafariki Ajali Ya Ndege Mlima Kilimanjaro

TANZIA Watano wafariki Ajali Ya Ndege Mlima Kilimanjaro

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
811
Reaction score
1,870
Helikopta ya kampuni ya uokoaji Kilimediair Aviation imepata ajali katika Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kusababisha vifo vya watu watano, wakiwemo raia wa kigeni wawili, rubani na daktari.

Ajali hiyo imetokea Jumatano ya Desemba 24 , katika eneo lililopo kati ya kilele cha Kibo na Barafu Camp, moja ya njia zinazotumiwa sana na watalii wapandaji wa mlima huo mrefu barani Afrika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, akieleza kuwa helikopta hiyo ilikuwa katika zoezi la kuwachukua wagonjwa waliokuwa wamepandishwa mlimani na kampuni ya utalii ya Boby Camping.


Kwa mujibu wa taarifa za awali, waliopoteza maisha ni wageni, muongoza utalii mmoja, rubani wa helikopta pamoja na daktari, aliyekuwa sehemu ya timu ya uokoaji.

Chanzo Na Bbc Swahili
 
Helikopta ya kampuni ya uokoaji Kilimediair Aviation imepata ajali katika Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kusababisha vifo vya watu watano, wakiwemo raia wa kigeni wawili, rubani na daktari.

Ajali hiyo imetokea Jumatano ya Desemba 24 , katika eneo lililopo kati ya kilele cha Kibo na Barafu Camp, moja ya njia zinazotumiwa sana na watalii wapandaji wa mlima huo mrefu barani Afrika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, akieleza kuwa helikopta hiyo ilikuwa katika zoezi la kuwachukua wagonjwa waliokuwa wamepandishwa mlimani na kampuni ya utalii ya Boby Camping.

Kwa mujibu wa taarifa za awali, waliopoteza maisha ni wageni, muongoza utalii mmoja, rubani wa helikopta pamoja na daktari, aliyekuwa sehemu ya timu ya uokoaji.

Chanzo Na Bbc Swahili
mwisho wa mwaka
 
Israel naye anashindwa kudeal na watu muhimu anapandisha mlimani kufanya nini? 😡

Hivi m-road wa feri posta hauoni? 😏
20251214_073413.jpg
 
Helikopta ya kampuni ya uokoaji Kilimediair Aviation imepata ajali katika Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kusababisha vifo vya watu watano, wakiwemo raia wa kigeni wawili, rubani na daktari.
Huyo wa tano ni nani?
Isije ikawa ni wale wapagazi (wabeba mizigo) hvy hamtaki kumuhesabu
 
Helikopta ya kampuni ya uokoaji Kilimediair Aviation imepata ajali katika Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kusababisha vifo vya watu watano, wakiwemo raia wa kigeni wawili, rubani na daktari.

Ajali hiyo imetokea Jumatano ya Desemba 24 , katika eneo lililopo kati ya kilele cha Kibo na Barafu Camp, moja ya njia zinazotumiwa sana na watalii wapandaji wa mlima huo mrefu barani Afrika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, akieleza kuwa helikopta hiyo ilikuwa katika zoezi la kuwachukua wagonjwa waliokuwa wamepandishwa mlimani na kampuni ya utalii ya Boby Camping.

Kwa mujibu wa taarifa za awali, waliopoteza maisha ni wageni, muongoza utalii mmoja, rubani wa helikopta pamoja na daktari, aliyekuwa sehemu ya timu ya uokoaji.

Chanzo Na Bbc Swahili
Habari mpaka BBC, kweli watz wamesusa kila kitu cha hapa
 
Waliokufa ni watu watano. Wageni wawi raia wa zchec, dr 1, guide 1 na rubani ambaye ni raia wa Zimbabwe.
 
Back
Top Bottom