Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wadai kupokea vitisho kutoka Tanzania

Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wadai kupokea vitisho kutoka Tanzania

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Watangazaji wa Radio 47 ya Kenya wanaongoza kipindi cha Maskani 47, Billy Miya na Mbaruk Mwalimu wakiwa kwenye kipindi wametoa madai ya kupokea vitisho kutoka Tanzania wakieleza sababu ni kuongelea matukio ya Tanzania.

Awali kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Tanzania na hata baada ya uchaguzi wamekuwa wakikosoa na kujadili hali ya uongozi na vyombo vya habari vya Tanzania namna vinavyofanya kazi hasa wakieleza wananchi wa Tanzania kutokuwa na imani na uongozi na ushindi wauchaguzi 2025

Soma pia:


 
Kwani wametumwa kuongelea mambo ya mbogamboga yatawasaidia nini wasikilizaji Wakenya 😦
 
Ccm wakae kwa kutulia, ya Kenya waachie Wakenya kama vipi na nyie wasemeni😄
 
Back
Top Bottom