Watangazaji wa Clouds360 watimiza ombi la Rais Magufuli

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
Watangazaji wa kipindi cha #Clouds360 wameitikia wito wa Rais JPM na mkewe wa kuwaomba na wao siku moja waje studio na wenza wao.

Ombi hilo alilitoa Rais siku alipopiga simu moja kwa moja kwenye kipindi,na kuwaambia kuwa yeye ni mtazamaji wa kipindi cha Clouds360 pamoja na mke wake,na angependa siku aone wao nao wakiwa studio na wenza wao

Wameitikia kwa kuleta wake zao na Baby kuleta mume wake...Hii ni timizo la ombi la Rais kwa watangazaji wa kipindi hicho
image.jpeg
 
Picha haiko fair! Kila moja amshike wa kwake! Dada tunajua huyo mwanaume mwingine tofauti na watangazaji ni mwenza wake
 
Sasa hapa tutajuaje nani ni nani na mke wa nane?...
Kila mtu angemshika Mwenzake Kiuno..

Mke wa Kamoga ni huyo mwenye nyekundu, mke wa Sasali ni huyo dada mwenye nyeusi na hiyo njemba yenye suruali ya njiwa ndiyo Mume wa Babie Kabae hiyo ya nyuma yao ya rangi ya kijani ni background wakati vilivyojificha hapo nyuma yao ni viti vya studio ya 360 ya clouds tv wakati mbele yako hapo hiyo ni meza na hayo uyaonayo hapo ni magazeti ya siku hiyo huku hapo jirani kwa Kamoga hiyo ni script imegandamizwa na simu yake wakati chini yao wote kuna kapeti zuri na mbele yao kuna cameraman wao wakati hayo unayoyaona yaking'aa kwa Kamoga, Babie, Mke wa Sasali na kwa mbali pia yanaonekana kwa Sasali ni meno yao. Sijui una swali tena jingine Mkuu ili nizidi kutiririka kutolea ufafanuzi ULIOTUKUKA!
 
Mke wa Kamoga ni huyo mwenye nyekundu, mke wa Sasali ni huyo dada mwenye nyeusi na hiyo njemba yenye suruali ya njiwa ndiyo Mume wa Babie Kabae hiyo ya nyuma yao ya rangi ya kijani ni background wakati vilivyojificha hapo nyuma yao ni viti vya studio ya 360 ya clouds tv wakati mbele yako hapo hiyo ni meza na hayo uyaonayo hapo ni magazeti ya siku hiyo huku hapo jirani kwa Kamoga hiyo ni script imegandamizwa na simu yake wakati chini yao wote kuna kapeti zuri na mbele yao kuna cameraman wao wakati hayo unayoyaona yaking'aa kwa Kamoga, Babie, Mke wa Sasali na kwa mbali pia yanaonekana kwa Sasali ni meno yao. Sijui una swali tena jingine Mkuu ili nizidi kutiririka kutolea ufafanuzi ULIOTUKUKA!
Hahahahaa...watu mna mambo, eti suruali ya njiwa duh!
 
Mke wa Kamoga ni huyo mwenye nyekundu, mke wa Sasali ni huyo dada mwenye nyeusi na hiyo njemba yenye suruali ya njiwa ndiyo Mume wa Babie Kabae hiyo ya nyuma yao ya rangi ya kijani ni background wakati vilivyojificha hapo nyuma yao ni viti vya studio ya 360 ya clouds tv wakati mbele yako hapo hiyo ni meza na hayo uyaonayo hapo ni magazeti ya siku hiyo huku hapo jirani kwa Kamoga hiyo ni script imegandamizwa na simu yake wakati chini yao wote kuna kapeti zuri na mbele yao kuna cameraman wao wakati hayo unayoyaona yaking'aa kwa Kamoga, Babie, Mke wa Sasali na kwa mbali pia yanaonekana kwa Sasali ni meno yao. Sijui una swali tena jingine Mkuu ili nizidi kutiririka kutolea ufafanuzi ULIOTUKUKA!
Umeandika 'kidaslamu' zaidi...
 
Mke wa Kamoga ni huyo mwenye nyekundu, mke wa Sasali ni huyo dada mwenye nyeusi na hiyo njemba yenye suruali ya njiwa ndiyo Mume wa Babie Kabae hiyo ya nyuma yao ya rangi ya kijani ni background wakati vilivyojificha hapo nyuma yao ni viti vya studio ya 360 ya clouds tv wakati mbele yako hapo hiyo ni meza na hayo uyaonayo hapo ni magazeti ya siku hiyo huku hapo jirani kwa Kamoga hiyo ni script imegandamizwa na simu yake wakati chini yao wote kuna kapeti zuri na mbele yao kuna cameraman wao wakati hayo unayoyaona yaking'aa kwa Kamoga, Babie, Mke wa Sasali na kwa mbali pia yanaonekana kwa Sasali ni meno yao. Sijui una swali tena jingine Mkuu ili nizidi kutiririka kutolea ufafanuzi ULIOTUKUKA!
Hongera kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom