Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,365
- 5,115
Huwa nafatilia Clouds Media sana hasa vipindi vya PB, XXL, Jahazi, Amplifaya, Sports Extra, Ala za Roho na Njiapanda.
Watangazaji wa hivi vipindi wana kitabia cha kujiona wamefanikiwa sana kimaisha wameptia changamoto kiasi wanaweza kumshauri mtu yeyote kuhusu maisha(kujiajiri wakati wao wameajiriwa)
Kitu kingine wana tabia ya kuongelea mambo yanayohitaji ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wanasahau wao ni facilitators tu.
Badilikeni Clouds
Watangazaji wa hivi vipindi wana kitabia cha kujiona wamefanikiwa sana kimaisha wameptia changamoto kiasi wanaweza kumshauri mtu yeyote kuhusu maisha(kujiajiri wakati wao wameajiriwa)
Kitu kingine wana tabia ya kuongelea mambo yanayohitaji ufafanuzi kutoka kwa wataalamu wanasahau wao ni facilitators tu.
Badilikeni Clouds