nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
Kuna baadhi ya watangazaji wanakera sana,hivi hata hili dogo linahitaji kushikiwa bakora?utakuta mtangazaji badala ya kusema wimbo anatamka 'nyimbo'! kwa mfano,"nyimbo hii aliitunga mwaka 1987!".Namshangaa sana anayejiita diva wa radio ya watu,habadiliki kwa hili!pia yuko Alex Lwambano,michael Baruti,dj faty..........mnaboa jamani.