Watangazaji mnaaibisha walimu wenu

Imekua ni kawaida sana kwa watangazaji kwenye TV kukosea.

Upendo Msuya wa Channel 10 jana alinishangaza aliposema fuvu la mtu wa kale liligunduliwa mwaka 1957.

Hivi huyu dada hakuwahi kusoma history shule ya msingi na secondary?

na alikufa lin huyo mtu wa kale
 
hii si shida ya mwalimu ni shida ya mtangazaji binafsi na aliye andaa hii taarifa ,wanafunzi wengi hesabu ni shida sasa huyo mhariri alitakiwa amtahadharishe kabisa.Lakini utashangaa anarudia na kurudia kukosea bila kurekebishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…