Watanganyika tumejifunza nini?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,589
Reaction score
12,875
Nimewakusudia watanganyika wanaotumia mitandao ya kijamii.

Wakati wapestina wanapigania haki zao na ardhi yao dhidi ya WaIsrael, Watanganyika walikua wakibeza na wakiona Palestina ni haki yao kufanyiwa vile.

Leo watanganyika tumeonjwa tu, nasema tumeonjwa kilichotokea siku 1 , 2 au 3 hayafanani yaliowakuta Wazanzibari au hata Palestina hata robo yake.

Leo kelele zimekua nyingi upande wa Tanganyika.

Hili liwe funzo kwetu, kwamba unaweza ukadai haki yako lkn wenye nguvu wakakunyazamisha na kukuundia propaganda
 
Mbona mfano wa mbali sana? Weww una jambo lako
 
Busu la Kenge and other Scumbabags waliJustify Netanyahu kuua unArmed and innocent civilians kwa madai kuwa Hamas wanajificha kwa Raia huwezi kupata Hamas lazima ujue Raia sasa Justification hiyo hiyo Police wanatumia na wanasema Kuna Wahuni na wezi walijificha kwa Waandamanaji ndio walikuwa wanawasaka mpaka kupelekea mauaji.
 
Kwa hivyo yote hayo weye unayaamini?
 
sawa, tuutane ICC
 
Ukweli ni kuwa hakuna kitu chochote au sababu yoyote inayoweza kujustify mtu kufanyiwa manyanyaso iwe mtanzania,mpalestina au mynyarwanda hata Tundu Lisu mwenyewe msimomo wake juu ya kinachoendelea pale mashariki ya kati, kati ya wapelestina na Israel yeye yupo upande wa palestina kwa uwazi kabisa kuwa hawatemdewi haki
 
Mimi kama Mtanganyika shauku yangu kubwa ni kuona tu ccm inatoka madarakani, lakini pia tunaondokana na huu muungano wa hovyo wa changu changu, chako changu!

Muungano usio na kero za kipumbavu ni wa aina mbili tu; wa serikali moja, au wa serikali tatu. Huu muungano wa seriakli mbili ni kichomi kwa kila uoande.

Hayo ya Wapalestina, Hamas, Israel na Netanyahu; nadhani hayanihusu kwa namna yoyote ile.
 
Ya Palestina hayatuhusu wapambane na Hali Yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…