Mimi nipo Zenje na nimeangalia hizi harakati zao hapa kwakweli zinatisha huwezi kuamini na inasemekana kuna baadhi ya viongozi walio wengi wameitaka SMZ wawache kama walivo kwa7bu wanadai haki yao ya kuwa huru.
Na pia alikuja Mkapa wiki 2 hv na kumtaka Shein awasimamishe hawa jamaa lakini Mr Ben alijibiwa kuwa huu sio wakati wa kulazimishana, ikiwa na maana kama Wazenji hawataki muungano waachiwe na harakati zao.
Lakni pia wamekuwa wakikashifu Watanganyika hadharani na SMZ hawajahi kuwakemea, na ikitokea kiongozi yoyte kuwakemea basi anajibiwa hadharani kwa maneno makali na hakuna hatua inayochukuliwa.
Angalia picha hii ni moja kati ya mikutano mingi wanayoifanye hapa Zenji, na hapo wanaulizwa" MNAUTAKA MUUNGANO AU HAMUUTAKI NA WAZENJI WANAJIBU HATUUTAKI"
Michenzani, Zanzibar.
Na wao wameazimia kuwalazimisha wawakilishi kuisindikiza SMZ waandae kura ya maoni ya kuukubali au kuukataa muungano, na trhe 26April watakuwa na maandamano makubwa ya kuukataa huo muungano.
Jee sisi Watanganyika tumejipanga vpi? Na kwanini tuko kimya namna hii wenzenu tunadhalilishwa na hawa jamaa!!!
Au tunaogopa ? Nawasilisha............................
Na pia alikuja Mkapa wiki 2 hv na kumtaka Shein awasimamishe hawa jamaa lakini Mr Ben alijibiwa kuwa huu sio wakati wa kulazimishana, ikiwa na maana kama Wazenji hawataki muungano waachiwe na harakati zao.
Lakni pia wamekuwa wakikashifu Watanganyika hadharani na SMZ hawajahi kuwakemea, na ikitokea kiongozi yoyte kuwakemea basi anajibiwa hadharani kwa maneno makali na hakuna hatua inayochukuliwa.
Angalia picha hii ni moja kati ya mikutano mingi wanayoifanye hapa Zenji, na hapo wanaulizwa" MNAUTAKA MUUNGANO AU HAMUUTAKI NA WAZENJI WANAJIBU HATUUTAKI"
Na wao wameazimia kuwalazimisha wawakilishi kuisindikiza SMZ waandae kura ya maoni ya kuukubali au kuukataa muungano, na trhe 26April watakuwa na maandamano makubwa ya kuukataa huo muungano.
Jee sisi Watanganyika tumejipanga vpi? Na kwanini tuko kimya namna hii wenzenu tunadhalilishwa na hawa jamaa!!!
Au tunaogopa ? Nawasilisha............................