emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Kwa miaka takribani 47 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado kuna malalamiko mengi juu ya muungano wenyewe ingawa wana ccm wenyewe wanakaa kwamba hakuna matatizo. Swali langu ni, kati ya watanganyika na wazanzibar nani mwenye matatizo?