Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Hii ni mara nyingine tena nikihusisha vurugu za Zanzibar na uwepo wa utawala wa CCM .Napendelea sana kusema ktk purukushani za Zanzibar mkono wa CCM upo au haukosi, kwani uwepo wa Muungano ni uhai wa CCM ,Muungano ukifa leo basi CCM ndio imeenda arijojo.
Kivipi CCM itayaona mauti ? Kufa kwa Muungano ni kubatilika kwa serikali ya Muungano ,ni kubatilika kwa Bunge na kubatilika au kufikia mwisho kwa vyombo vingine vyote vihusikavyo na Muungano. Inamaana Tanganyika itabidi iitishe uchaguzi mpya ndani ya kipindi kifupi pengine kisicho zidi miezi sita.
Mtihani mkubwa kwa wanaCCM kuweza kushinda tena au kurudi madarakani utakuwa mgumu na asilimia kubwa watafeli,uwepo wa Muungano au nguvu zinazotumika kulinda Muungano huu usivunjike ni kuhakikisha serikali ya Muungano inabakia madarakani na mradi wa kudhibiti vyombo vyote vya dola upo chini yao.
Hivi leo hii tukiamka tunasikia Muungano umevunjika ,Zanzibar wanaserikali hawatatetereka ,je huku Tanganyika unadhani kutatokea nini ,je CCM watakubalika kuendelea na uongozi au utawala ???
Kivipi CCM itayaona mauti ? Kufa kwa Muungano ni kubatilika kwa serikali ya Muungano ,ni kubatilika kwa Bunge na kubatilika au kufikia mwisho kwa vyombo vingine vyote vihusikavyo na Muungano. Inamaana Tanganyika itabidi iitishe uchaguzi mpya ndani ya kipindi kifupi pengine kisicho zidi miezi sita.
Mtihani mkubwa kwa wanaCCM kuweza kushinda tena au kurudi madarakani utakuwa mgumu na asilimia kubwa watafeli,uwepo wa Muungano au nguvu zinazotumika kulinda Muungano huu usivunjike ni kuhakikisha serikali ya Muungano inabakia madarakani na mradi wa kudhibiti vyombo vyote vya dola upo chini yao.
Hivi leo hii tukiamka tunasikia Muungano umevunjika ,Zanzibar wanaserikali hawatatetereka ,je huku Tanganyika unadhani kutatokea nini ,je CCM watakubalika kuendelea na uongozi au utawala ???