Watalipa kodi, au ni kama sadaka?

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,303
Reaction score
2,852
Habari wanandoa!
Sina maelezo mengi, kichwa cha habari kinajieleza.

Kwa kuwa uelewa wangu si mpana kwenye mambo ya kodi hapa Tanzania, ningependa kujua kama B 100 za harambee ya CCM kodi itakatwa, au ni kama sadaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…