MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,398
- 42,179
1. Kilimo cha kutupa maendeleo kinahitaji uwekezaji mkubwa wa pesa na sio hiki kilimo cha jembe la mkono na kutegemea mvua.
2. Ongezeko la wawekezaji kwenye pombe kali na kamari unatugharimu nguvukazi na maadili. Kodi kubwa ziongezwe huko ili kuwakatisha tamaa wawekezaji kwenye hayo mambo ya kipuuzi. Kwa mfano mtu akishinda 10m afyekwe 50% kama kodi na kampuni ya kamari ifyekwe 25%
3. Uchuuzi ndo biashara kubwa zaidi kwa wengi ila haituhakikishii bright future kama nchi. Nchi inahitaji biashara za kutoa huduma kama zile za kina Benji Fernandes (NALA)
4. Sheria ya ndoa na ya ubakaji zina ukakasi sana. Zinahitaji marekebisho. Eti kumuoa binti wa miaka 14 ruksa ila kutembea na binti wa miaka 18 inahesabika ni ubakaji endapo binti ni mwanafunzi.
5. Elimu ya high school(advance) na chuo kikuu (degree) bado zina thamani kubwa kuliko VETA au vyuo vingine. Hakikisha mtoto anapiga six na kwenda University.
6. Elimu haina mbadala. Hata pesa sio mbadala wa elimu.
7. Sheria za kodi na tozo zirekebishwe. Tubakiwe na kodi chache na tozo ila tuongeze walipa kodi wapya wengi. Kuna watu wengi wanaingiza vipato ila hawalipi kodi.
8. Hakuna chama mbadala wa CCM hadi sasa. Cha muhimu wananchi wote bila kujali vyama tuhakikishe CCM inatimiza ahadi za kwenye ilani yake ya uchaguzi.
9. Hata uwe mtakatifu vipi lazima ukutane na misukosuko ya kukera sana kwenye ndoa. Kama unaweza kuishi bila kuoa fanya hivyo.
10. Kama utaratibu wa kuingia usipofanyiwa marekebisho basi itoshe kusema kwamba hakuna atakayeingia mbingni kwa sisi wakristo. Inasemwa kwamba kumwangalia mwanamke na kumtamani ni sawa na kuzini naye. Wafuatao tayari wameniingiza motoni bila kujua; Jokate, Uwoya, Vale, Ange Kariuki, Niffer, Bulaya, Hilda Newton, Benda Rupia.
2. Ongezeko la wawekezaji kwenye pombe kali na kamari unatugharimu nguvukazi na maadili. Kodi kubwa ziongezwe huko ili kuwakatisha tamaa wawekezaji kwenye hayo mambo ya kipuuzi. Kwa mfano mtu akishinda 10m afyekwe 50% kama kodi na kampuni ya kamari ifyekwe 25%
3. Uchuuzi ndo biashara kubwa zaidi kwa wengi ila haituhakikishii bright future kama nchi. Nchi inahitaji biashara za kutoa huduma kama zile za kina Benji Fernandes (NALA)
4. Sheria ya ndoa na ya ubakaji zina ukakasi sana. Zinahitaji marekebisho. Eti kumuoa binti wa miaka 14 ruksa ila kutembea na binti wa miaka 18 inahesabika ni ubakaji endapo binti ni mwanafunzi.
5. Elimu ya high school(advance) na chuo kikuu (degree) bado zina thamani kubwa kuliko VETA au vyuo vingine. Hakikisha mtoto anapiga six na kwenda University.
6. Elimu haina mbadala. Hata pesa sio mbadala wa elimu.
7. Sheria za kodi na tozo zirekebishwe. Tubakiwe na kodi chache na tozo ila tuongeze walipa kodi wapya wengi. Kuna watu wengi wanaingiza vipato ila hawalipi kodi.
8. Hakuna chama mbadala wa CCM hadi sasa. Cha muhimu wananchi wote bila kujali vyama tuhakikishe CCM inatimiza ahadi za kwenye ilani yake ya uchaguzi.
9. Hata uwe mtakatifu vipi lazima ukutane na misukosuko ya kukera sana kwenye ndoa. Kama unaweza kuishi bila kuoa fanya hivyo.
10. Kama utaratibu wa kuingia usipofanyiwa marekebisho basi itoshe kusema kwamba hakuna atakayeingia mbingni kwa sisi wakristo. Inasemwa kwamba kumwangalia mwanamke na kumtamani ni sawa na kuzini naye. Wafuatao tayari wameniingiza motoni bila kujua; Jokate, Uwoya, Vale, Ange Kariuki, Niffer, Bulaya, Hilda Newton, Benda Rupia.