Watalamu wa madishi

Watalamu wa madishi

Joined
Feb 23, 2012
Posts
15
Reaction score
1
Naomba mnisaidie frequence za chanel zinazopatikana kwenye intersat 906(64e) ukiacha hizi za kibongo nisaidieni jamani
 
3780v1666 tv imani 3654h5642 tvm 4040v2035 tbn namibia zaidi ya hapo hakuna 3721h3882 uganda
 
ukitaka kupata frequency zaidi na unlcok code kirahisi nakushauri ukafute decoder ya Dreambox HD
 
Jamani hivi sisi wenye madishi kuanzia mwakani tukiingia rasimi kwenye mfumo wa digitali madishi yetu hayatafanya kazi naombeni majibu wadau.
 
Madish yatafanya kazi mkuu,ila hizi antenna kama Sonet ndo azitaweza kamata TV yeyote
Jamani hivi sisi wenye madishi kuanzia mwakani tukiingia rasimi kwenye mfumo wa digitali madishi yetu hayatafanya kazi naombeni majibu wadau.
 
Na je tutatumia receiver zetu za kawaida eg mediacom au itatulazimu kununua ving'amuzi
 
Madish yatafanya kazi mkuu,ila hizi antenna kama Sonet ndo azitaweza kamata TV yeyote

ANTENA ZITAKAMATA KAMA KAWAIDA, ISIPOKUWA KAMA MATANGAZO YANARUSHWA KWA TRANSMITA ZA ANALOGUE. LAKINI KWA TRANSMITA ZA DIGITAL ANTENA ZITAKUWA ZINAKAMATA KAMA KAWA. NA KUNA BAADHI YA TV NA RADIO STATION KWA SASA ZIPO KWNYE DIGITAL, SO HAZITAKUWA NA MABADILIKO
Nawasilisha
 
Nashukuru mkuu nilikuwa na wasiwasi kwani tetesi zimezagaa kuwa receiver zetu hazitatumika tena nawakilisha.
 
Back
Top Bottom